Hivi anayewapa mimba vichaa ni nani?

beco

JF-Expert Member
May 7, 2013
1,339
782
Habari WanaJF,

Mara nyingi nikiwa naenda kwenye misghuliko huwa napita maeneo ya Msimbazi Centre pale huwa namuonaga mdada mmoja (mwendawazimu) asubuhi anakuwa amelala pembezoni mwa barabara.

Ni zaidi ya mwaka huwa namuona ona maeneo hayo sasa leo wakati nikipita njia nikamkuta yule mdada ana ujauzito unaonekana ni mkubwa.

Sasa nikajiuuliza maswali; Nani aliyempa huyu mdada mimba? Alimtongoza au alimbaka?
Ni mtu mzima au nae kichaa? Ilikuwa faragha au mubasharra?

Vipi kuhusu clinic? Vipi atajifungua? Itakuwaje uchungu ukija? Vipi malezi ya mtoto?

Yaani nimekosa majibu ya maswali ambayo nilishawahi jiuliza wakati nipo chuo pale IFM kulikuwa na mwendawazimu muda wote alikuwa na mwanae na alikuwa mkali sana ukijisogeza kwa mwanae..
 
Kiukweli hili suala hata mimi linanitatiza. Nimeshawah kuona hao walemavu wa akili zaidi ya wawili wakiwa na ujauzito (hii ni tanga) nakumbuka baada ya kuzaa alinyang'anywa mtoto. Haikujilikana ni nani alimchukua mtoto (labda mwenye mtoto wake)

Sijapata jibu, ila mwngi yanawezekana

1: wamebakwa na wazee wa ugwadu (walevi sugu, mateja, wahuni mavi)
2: wameingiliana kimwili na watu wa jinsi ya akili kama yao.
 
Mkuu wanaume kwenye papuchi huwa akili zinaruka..hao watu mimba wanapewa na watu timamu kabisa.

Mwanaume akianza kutumia kichwa cha chini kufikiri anaweza fanya jambo la ajabu dunia nzima isiamini..

Ndio maana wanasema kama wanawake wakisema hawatoi papuchi hadi dawa ya ukimwi ipatikane i can guarantee haitopita 24 hrs dawa itakuwa hewani(jokes)
 
Huyo kapewa na kichaa mwenzake tu, no way out
Walinzi usiku hasa wa maduka niliwahi kuongea Na mlizi mmoja akawa anasema usiku kichaa analala kibalazani akimshika tu nakupima oil kichaa miguu manuu katulia tuli kama sio yeye Jamaa anawatandika so mchezo kashakula hadi wanachuo walevi enzi ya bilcanas ifm kunajengo lilivunja likawekewa uzio anakwambia watoto wakalii kukikucha pombe zikiwatoka wanashangaa wame lala kwenye banda mlinzi
 
Habari WanaJF,

Mara nyingi nikiwa naenda kwenye misghuliko huwa napita maeneo ya Msimbazi Centre pale huwa namuonaga mdada mmoja (mwendawazimu) asubuhi anakuwa amelala pembezoni mwa barabara.

Ni zaidi ya mwaka huwa namuona ona maeneo hayo sasa leo wakati nikipita njia nikamkuta yule mdada ana ujauzito unaonekana ni mkubwa.

Sasa nikajiuuliza maswali; Nani aliyempa huyu mdada mimba? Alimtongoza au alimbaka?
Ni mtu mzima au nae kichaa? Ilikuwa faragha au mubasharra?

Vipi kuhusu clinic? Vipi atajifungua? Itakuwaje uchungu ukija? Vipi malezi ya mtoto?

Yaani nimekosa majibu ya maswali ambayo nilishawahi jiuliza wakati nipo chuo pale IFM kulikuwa na mwendawazimu muda wote alikuwa na mwanae na alikuwa mkali sana ukijisogeza kwa mwanae..
Hapa ndipo watu waliosoma sociology /usitawi wa jamii ndipo wanapoingia sasa
 
Kuna wakati huwa wanabanduliwa na watu wenye akili kabisa, ila kuna mmoja yule wa manyanya na stendi ya kwenda posta alikuwa anabanduliwa na mateja.
Sasa ikifika muda wakujifungua inakuwaje? Au huwa wanchukuliwa na serikali
 
Wafanyabiashara washirikina wenye masharti ya kulala na vichaa. Vichaa wengi waonekanao maeneo ya biashara na stendi kuu za mabasi Mara nyingi huwa misukule ya wafanyabiashara washirikina wa maeneo hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom