Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,765
- 50,859
Nilipata kusikia miaka ya 1990s kuna mlemavu wa akili kule Makambako Njombe alipewa ujauzito akajifungua mtoto na akawa anamlea vizuri kabisa, cha kushangaza akawa anamwosha maji ya baridi bombani na mji ule ni wa baridi kali sana, baadaye alipobaini wanawake wa pale mjini wanataka kumnyang'anya mtoto, akawa anafanyia shughuli zake za usafi - kumwosha mtoto, kufua nguo zake na kuzianika kituo cha police