Nimemuuliza @Gentamycin.Subiri aje kujibu mwenyewe. Wewe ni An Eagle jamani.Naitwa cleverbright na siitwi getamisin tafadhali na nachoka sasa kila mara kuhusishwa na hiyo ID. au fanyeni hivi ili kurahisisha mambo ID's zote za hapa JF ni zangu ikiwemo na hii yako. Unaacha Kujadili Hoja iliyopo mezani unajadili ID halafu Rais Trump akitutukana Waafrika kuwa hatuna Akili hadi anatufananisha na Mashimo ya Vyoo tunakasirika na Kumchukia wakati huenda akawa yupo sahihi kwa 99% kama hata siyo 100% zote.
Angekuwa ‘fundi’ vijana wa kufoka foka wasingemtelekeza.Miss kisarawe anamnyima Raha mama yetu kuna tetesi mtaani zinadai kuwa huyu miss kisarawe ni fundi Sana
Kajichanganya mwenyewe. Mimi nimemuuliza mtu mwingine yeye anajibu. Tena anasema ni Cleverbright wakati ni un eagle.An Eagle au cleverbright!!?
Au ni 6 na 9!!?
Nikukumbushe tu. Hapa umelogin kama An Eagle na sio cleverbright .Kuwa na multiple ID's ni noma. Ona ulivyojichanganya. Pole Kaka.Naitwa cleverbright na siitwi getamisin tafadhali na nachoka sasa kila mara kuhusishwa na hiyo ID. au fanyeni hivi ili kurahisisha mambo ID's zote za hapa JF ni zangu ikiwemo na hii yako. Unaacha Kujadili Hoja iliyopo mezani unajadili ID halafu Rais Trump akitutukana Waafrika kuwa hatuna Akili hadi anatufananisha na Mashimo ya Vyoo tunakasirika na Kumchukia wakati huenda akawa yupo sahihi kwa 99% kama hata siyo 100% zote.
Aiseee uko kichwani mwangu, huyu mama sio mtu wa publicity ana aina ya maisha ya kawaida ya wanawake wa kiafrika, sasa sisi ndio tunaopata tabu kwakuwa tulimzoea yule mama aliyepita na yule mama wa awamu ya tatu waliokuwa km nao ni maraisMie huwa naona ni mtu asiyependa kabisa kuwa hadharani na anatamani kuishi maisha yake aliyokuwa anayaishi. Zamani nilidhania pia dingi anambana sana.
Lakini baada ya kuona ile kideo ya mzee akiwapongeza nafikiri Taifa Stars kufanikiwa kuingia AFCON, NILIBADILI MAWAZO na kuamini maza hapendi kamera kabisa sio kama yule mama yetu mshambenga wa enzi zile aliyekuwa anaenda hadi kubembea na kamera atutumie picha wanae tuone anavyokula nchi yetu.
Kwenye ile kideo mzee akitoa pongezi sebuleni kwake, mama alikuwa mezani akipiga msosi. Ukiangalia interaction yao pale, ni kama yetu tu huku kitaa na niliona maza yuko kipekee tu.
Na kwa aina fulani ananikumbusha bibi yangu wa Namanyere, Nkasi. Bibi yangu alizaliwa kabla ya uhuru na huwezi kumlinganisha hata kidogo na mabibi wa kisasa wa dot com. Simu tu ya tochi mpaka leo kuitumia bado inamzingua. Lakini busara na hekima kama zote.
Nadhani personality ya maza imesaidia pia kupunguza madili yaanziyo Magogoni. Maana enzi zile, yule maza aliyepita ni kama na yeye alichaguliwa uraisi vile.
Una makengeza?Kila nimwonapo kupitia Saikolojia yangu Kali ya Kuzaliwa nayo na ya Kusomea kidogo pia huwa nagundua haya:
Ana Maumivu makubwa moyoniAna Mawazo mengiHathaminiwiAnadharauliwaAmelazimishwaMgonjwaHapendi Publicity
Sijui Wewe Mwenzangu huwa unamuonaje.
Kabisaa. Mama Nyerere likuwa kama huyu mama kwa sie tuliokuwa na akili timamu miaka ya 70 na 80 na kumuona mama Nyerere akiwa Ikulu. Ila Sitti alipoingia na mzee Ruksa ndo mke wa raisi akawa FIRST LADY, Na vurugu zilizofuata za wahindi, wachaga na akina nanihii, ikawa taabu tupu. Kwahiyo tulikuwa na miaka 30 ya kuzoeshwa kuwa ma maza hawa ni wasampuli fulani. Ukilinganisha wengi ya waliomo humu JF ni kizazi cha dot com, basi wengi wao Mategemeo ni kuwa maza awe kama mke wa raisi wa marekani.Aiseee uko kichwani mwangu, huyu mama sio mtu wa publicity ana aina ya maisha ya kawaida ya wanawake wa kiafrika, sasa sisi ndio tunaopata tabu kwakuwa tulimzoea yule mama aliyepita na yule mama wa awamu ya tatu waliokuwa km nao ni marais
fundi gani aolewe basiMiss kisarawe anamnyima Raha mama yetu kuna tetesi mtaani zinadai kuwa huyu miss kisarawe ni fundi Sana
Nmefanyaje tena mkuuHahaha wewe mtu ni noma duh!
Anapigwa?Kila nimwonapo kupitia Saikolojia yangu Kali ya Kuzaliwa nayo na ya Kusomea kidogo pia huwa nagundua haya:
Ana Maumivu makubwa moyoniAna Mawazo mengiHathaminiwiAnadharauliwaAmelazimishwaMgonjwaHapendi Publicity
Sijui Wewe Mwenzangu huwa unamuonaje.
Pole sana mkuu, hizi ndizo moja kati ya changamoto za humuSidhani kama huyo atapigwa kwani kuhusu Mimi kuhusishwa na hiyo ID wanayoitaja mara kwa mara hapa sijaanza leo na cha Kusikitisha wale ambao wamekuwa wakifanya hivyo nawaona wapo tu na tena wanazidi Kuwaaminisha Watu kuwa huyo Mhusika wao ndiyo mwenye ID hii ( yaani Mimi )
Kumbe CLEVERBRIGHT & AN EAGLE ni ID za Mtu mmoja. Hongera sana Mkuu.Naitwa cleverbright na siitwi getamisin tafadhali na nachoka sasa kila mara kuhusishwa na hiyo ID. au fanyeni hivi ili kurahisisha mambo ID's zote za hapa JF ni zangu ikiwemo na hii yako. Unaacha Kujadili Hoja iliyopo mezani unajadili ID halafu Rais Trump akitutukana Waafrika kuwa hatuna Akili hadi anatufananisha na Mashimo ya Vyoo tunakasirika na Kumchukia wakati huenda akawa yupo sahihi kwa 99% kama hata siyo 100% zote.
Ohhoo....!!Kama mpaka leo humjui Rais wa SADC basi nadhani hustahili kuitwa Great Thinker tena wa JF. Pole sana Rafiki.
Kila nimwonapo kupitia Saikolojia yangu Kali ya Kuzaliwa nayo na ya Kusomea kidogo pia huwa nagundua haya:
Ana Maumivu makubwa moyoniAna Mawazo mengiHathaminiwiAnadharauliwaAmelazimishwaMgonjwaHapendi Publicity
Sijui Wewe Mwenzangu huwa unamuonaje.