SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
Miaka minne tu nyie mshamchoka bwana mkubwa
Imagine yeye kavumilia miaka mingapi
Anyway kisarawe oyeee
Anyway Kisarawe oyee!! Hii signtori inanikumbusha Twitaa kwa kina K-20fotini
Miaka minne tu nyie mshamchoka bwana mkubwa
Imagine yeye kavumilia miaka mingapi
Anyway kisarawe oyeee
Miss kisarawe anamnyima Raha mama yetu kuna tetesi mtaani zinadai kuwa huyu miss kisarawe ni fundi Sana
kumbee #kibwagizoMiaka minne tu nyie mshamchoka bwana mkubwa
Imagine yeye kavumilia miaka mingapi
Anyway kisarawe oyeee
Miss kisarawe anamnyima Raha mama yetu kuna tetesi mtaani zinadai kuwa huyu miss kisarawe ni fundi Sana
Naunga mkono hoja, ila ujue tuu kule usukumani wanawake ni kama tool ya mtu .wanawake ni kama watumwa wa familia zao. Halafu bango lingekuwa safi zaidi ungebandika na pichaKila nimwonapo kupitia Saikolojia yangu Kali ya Kuzaliwa nayo na ya Kusomea kidogo pia huwa nagundua haya:
Ana Maumivu makubwa moyoniAna Mawazo mengiHathaminiwiAnadharauliwaAmelazimishwaMgonjwaHapendi Publicity
Sijui Wewe Mwenzangu huwa unamuonaje.
Miaka minne tu nyie mshamchoka bwana mkubwa
Imagine yeye kavumilia miaka mingapi
Anyway kisarawe oyeee
kuna sentensi hapo ni balaa mkuuNaitwa cleverbright na siitwi getamisin tafadhali na nachoka sasa kila mara kuhusishwa na hiyo ID. au fanyeni hivi ili kurahisisha mambo ID's zote za hapa JF ni zangu ikiwemo na hii yako. Unaacha Kujadili Hoja iliyopo mezani unajadili ID halafu Rais Trump akitutukana Waafrika kuwa hatuna Akili hadi anatufananisha na Mashimo ya Vyoo tunakasirika na Kumchukia wakati huenda akawa yupo sahihi kwa 99% kama hata siyo 100% zote.
Wewe mwenyewe unauliza swali halafu unajijibu, wabongo kwa ushakunanku ni noma ndo maana hatutoboi kwenye issue zinazohitaji seriousnessNasikia Miss Kisarawe, Miss Afya na yule akiyekuwa Miss Madini achilia mbali yule Miss Bamaga mkabala na TBC wanamnyima sana raha na amani kwakuwa Keki yake inaliwa na wengi ambao hawakuihangaikia tokea miaka ya nyuma.
Mkuu, minapenda vile unavyo tiririka na kuserereka mara tu unapo tekenywa..teh
Oya??Miss kisarawe anamnyima Raha mama yetu kuna tetesi mtaani zinadai kuwa huyu miss kisarawe ni fundi Sana
Kama ungemtaja huyo Rais, ama ungetaja jina la mkewe... Pengine ingekuwa ni rahisi kwa wachangiaji kutambua ni mke wa Rais yupi unaemzungumzia..
Una umbea Sana wewe.
Hahahaa, ni wewe bhana unakataa nini?Naitwa cleverbright na siitwi getamisin tafadhali na nachoka sasa kila mara kuhusishwa na hiyo ID. au fanyeni hivi ili kurahisisha mambo ID's zote za hapa JF ni zangu ikiwemo na hii yako. Unaacha Kujadili Hoja iliyopo mezani unajadili ID halafu Rais Trump akitutukana Waafrika kuwa hatuna Akili hadi anatufananisha na Mashimo ya Vyoo tunakasirika na Kumchukia wakati huenda akawa yupo sahihi kwa 99% kama hata siyo 100% zote.
Miss Bamaga Ndio Yupi?? Nimeshindaa Kung'amua Hapo Tu.
Naitwa cleverbright na siitwi getamisin tafadhali na nachoka sasa kila mara kuhusishwa na hiyo ID. au fanyeni hivi ili kurahisisha mambo ID's zote za hapa JF ni zangu ikiwemo na hii yako. Unaacha Kujadili Hoja iliyopo mezani unajadili ID halafu Rais Trump akitutukana Waafrika kuwa hatuna Akili hadi anatufananisha na Mashimo ya Vyoo tunakasirika na Kumchukia wakati huenda akawa yupo sahihi kwa 99% kama hata siyo 100% zote.
Kumbe wewe ni cleverbright na siyo An Eagle.Naitwa cleverbright na siitwi getamisin tafadhali na nachoka sasa kila mara kuhusishwa na hiyo ID. au fanyeni hivi ili kurahisisha mambo ID's zote za hapa JF ni zangu ikiwemo na hii yako. Unaacha Kujadili Hoja iliyopo mezani unajadili ID halafu Rais Trump akitutukana Waafrika kuwa hatuna Akili hadi anatufananisha na Mashimo ya Vyoo tunakasirika na Kumchukia wakati huenda akawa yupo sahihi kwa 99% kama hata siyo 100% zote.
Umemjuaje huyo dogo?Gentamycin ile account yako imepigwa pin nini ?
Unaitwa cleverbright au An Eagle!! Au wote ni mtu mmoja au Mod wameunganisha IDs hizi mbili kimakosa??!!!!
An Eagle au cleverbright!!?Naitwa cleverbright na siitwi getamisin tafadhali na nachoka sasa kila mara kuhusishwa na hiyo ID. au fanyeni hivi ili kurahisisha mambo ID's zote za hapa JF ni zangu ikiwemo na hii yako. Unaacha Kujadili Hoja iliyopo mezani unajadili ID halafu Rais Trump akitutukana Waafrika kuwa hatuna Akili hadi anatufananisha na Mashimo ya Vyoo tunakasirika na Kumchukia wakati huenda akawa yupo sahihi kwa 99% kama hata siyo 100% zote.