Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,376
Pumba nani sasa? TCU? NACTE? Au wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia wanaoruhusu OUT kuoperate nchini na nyie hamtaki??Pumbaaa
Pumba nani sasa? TCU? NACTE? Au wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia wanaoruhusu OUT kuoperate nchini na nyie hamtaki??Pumbaaa
Tatizo lenu vijana mnaleta dharau za vijiweni bila data!Punguza sifa mkuu
Nimesoma Mzumbe lakini nilishuhudia pia Madudu ya kutisha hasa wizi wa paper, kuna siku paper ilivuja ndo nikajua kumbe na vyuo vikuu haya mambo yapo, Kuna watu wamepita hivyo vyuo na ni weupe tu na kuna walio pita OUT ni vichwa,Tanzania Vyuo Vikuu ni UDSM, SAUT Mwanza, Mzumbe na Tumaini labda na kidogo sana UDOM, ila vilivyobaki hamna Kitu. Huu ni mtazamo wangu na Uheshimiwe ila ukikukwaza tafuta Sumu ya Panya Koroga unywe Ufe.
Approach yako haikuwa nzuri ndio maana ulijibiwa ilivyofaa kujibiwa, punguza dharau na majivuno ya kike wanaume timamu hawajimwambafy kwa kuwashusha wengine, bali output kwenye jamii inayowazunguka, Pumbavu kabisa wewePumbavu aliyekuambia kuwa Vijiweni ni kubaya na hakufai nani? Rais Mstaafu Kikwete kabla na hata sasa alikaa na hukaa Kijiwe chake Kikubwa cha Saigoni. Je, nae ni Muhuni au hana au hakuwa na Kazi au Mambo muhimu ya Kufanya?
Kuna Kazi tena Muhimu na Kubwa katika Jamii na huenda hata kuliko yako huwezi kuifanya na kufanikiwa nayo Kiutendaji kama hukai Vijiwe mbalimbali. Je, Vijiweni ni Kubaya?
Kuna Watu leo hii wana Ajira zao Kubwa huenda kuliko yako na wengine wanapata 'Connections' za Biashara kupitia kukaa Kwao huko Vijiweni unakokudharau. Je, Vijiweni ni kubaya?
Nimekudharau zaidi na hauna Akili pia.
Kijiweni ni wapiPumbavu aliyekuambia kuwa Vijiweni ni kubaya na hakufai nani? Rais Mstaafu Kikwete kabla na hata sasa alikaa na hukaa Kijiwe chake Kikubwa cha Saigoni. Je, nae ni Muhuni au hana au hakuwa na Kazi au Mambo muhimu ya Kufanya?
Kuna Kazi tena Muhimu na Kubwa katika Jamii na huenda hata kuliko yako huwezi kuifanya na kufanikiwa nayo Kiutendaji kama hukai Vijiwe mbalimbali. Je, Vijiweni ni Kubaya?
Kuna Watu leo hii wana Ajira zao Kubwa huenda kuliko yako na wengine wanapata 'Connections' za Biashara kupitia kukaa Kwao huko Vijiweni unakokudharau. Je, Vijiweni ni kubaya?
Nimekudharau zaidi na hauna Akili pia.
You're Stupid Creature a Trillion times!!!Approach yako haikuwa nzuri ndio maana ulijibiwa ilivyofaa kujibiwa, punguza dharau na majivuno ya kike wanaume timamu hawajimwambafy kwa kuwashusha wengine, bali output kwenye jamii inayowazunguka, Pumbavu kabisa wewe
kwa unayembebea Mimba zake kila Saa.Kijiweni ni wapi
Msamehe huyu ni wa kutafuniwa jamani, Elimu ni kile ulichokisoma na kukionesha kwenye jamii usidanganywe na vyeti hata vya ubatizo navyo ni vyetiInawezekana vipi 'Wanamume' wameumia Darasani huko UDSM, SAUT na Mzumbe halafu Wewe uliyesoma OUT ( hapo Biafra ) na Kupata Degree ( Shahada ) yako tukikutana Vijiweni uwe na la Kuchangia?
Elimu ya Masafa 'inamheshimisha' Mtu kweli au ndiyo labda 'inamdharaulisha' mbele ya wale Waliohudhuria 'Lecture Sessions' zote kwa miaka Mitatu au Minne na Kupata Bachelors zao walizozihangaikia Darasani huku 'sometimes' wakipata 'Sapu' za Kutosha tu.
Ahahahaaaa kwa hasira hizi unaweza jinyonga we mlumumbaYou're Stupid Creature a Trillion times!!!