Hivi albadil inafanyaje kazi?

Hivi albadil inafanyaje kazi?

Kuna mjinga mmoja alifungua kisima cha msikiti akavuta ile mashine ya kuvutia maji ..Basi waislam wakatangaziana eakaja wazee misikiti km kumi na watoto wakasoma hiyo albadili huku wakisema huyo mtu ataileta hiyo mashine 🤣🤣🤣cha ajabu mpaka leo haijaletwa hiyo mshine
Hatari sana duh
 
Njoo ofsini tufanye kazi.
 

Attachments

  • FB_IMG_17159668130381519.jpg
    FB_IMG_17159668130381519.jpg
    215.2 KB · Views: 6
Back
Top Bottom