kwa hiyo quran ni kama diode kwamba ina mema na mabaya inategemea umeiombaje yaani!?Albadili ni uchawi na kwa maana hiyo wanayoitumia ni motoni moja kwa moja ,siku ya mwisho mtajua mlikuwa mnamtumikia nan
kwa hiyo quran ni kama diode kwamba ina mema na mabaya inategemea umeiombaje yaani!?Albadili ni uchawi na kwa maana hiyo wanayoitumia ni motoni moja kwa moja ,siku ya mwisho mtajua mlikuwa mnamtumikia nan
Waking ndiyo waliwao....Vipi kuhusu wale wanaokanyaga mafuta wakiamini kua ndio yatawapa utajiri?
Na wale wanaonunua sijui chumvi ya upako,mara maji ya upako?
Au una ndyeki?
Waking ndio kina Nani?Waking ndiyo waliwao....
maIlikuwa ni vita vya Badr (jisomee)
Enzi za Mtume SAW na wanapiganaji wengi na waliokuwa nae kwenye vita walikuwa wanasoma Dua hiyo kwa kumuomba Mungu sana
Haihusiani lolote na uchawi wala kumroga mtu, waswahili ndio wamebadili na kuwa mengine
Hao ni washirikina kama washirikina wengine tu
Waone Mad Max au SteveMollel wakali wa hizi kaziSorry, Naombeni site ya kudownload full movie free za makampuni ya movie kama universal pictures
Ndio maana nikasema ni shirk tu hakuna lingineKama ni Dua tu direct Kwa Mungu chumvi ya mawe,ndimu na sindano nizanini kwenye albadiri?
ma
Ahl Al BadrHaya mambo nimekuja kuyajulia Dar, kwetu Bulongwa Makete Uislam hauko.
Ndugu zanguni naomba kujulishwa jinsi albadil inavyofanya kazi. Kuna MTU kaniibia kiasi kikubwa sana cha hazina yangu, sitaki afe ila nataka arudishe mwenyewe na wala asipatwe na wazimu maana najua karma ita ni haunt kama anavyoamini Pascal Mayalla Na Mshana Jr.
WEMA USIO MIPAKA, WEMA USIO KIFANI.
Siyo Tehran, katoka Qom huyo.mshia toka Tehran huyo, yuko vizuri
Asante sana kwa short brief inatojitosheleza. Je unaweza kunisomea hiyo dua mwizi wangu arejeshe Mali yangu bila kuwa kichaa wala bila kudhurika?Ahl Al Badr
Badr ni kimji kidogo kilichopo kwenye mipaka ya jiji la Madih Munawara.
Kihistoria, wakati wa Mtume Muhammad Salla Allahu alayhi Wasalaam kulitokea vita kubwa hapo ya wasioamini Allah na walioupinga Uislam na Waislam. Waislam wengi wakauliwa kwenye vita hiyo lakini wakashinda.
Kuna aya ya Qur'an inasema:
154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
"Ahl al Badr" Hiyo ni dua yanatajwa majina ya Waislam waliopigana hivyo vita vya Badr, na yanapotajwa mtu anashitakia kwao kwa yaliyomsibu, kwa kuwa hao ni waja wema na kuna wanaoamini bado umauti haujawafika, basi huchukuwa hatua stahiki kwa aliyedhulumiwa.
Kuna hitilafu ya Waislam katika hilo, kuna wanokataa hilo na kuna wanalokubali hilo.