Kitchener
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 13,833
- 27,742
wanakutumia majini yaje ya kudhuru kwasababu wanayafuga. Kitu nilichocheka sana ni kwamba, majini hayo hayana nguvu dhidi ya watu waliookoka au hata waisrael wowote wale, kwasababu Mungu wa kweli alishatamka kwamba hakuna uchawi juu ya muisrael utakaofanya kazi wala uganga.Haya mambo nimekuja kuyajulia Dar, kwetu Bulongwa Makete Uislam hauko.
Ndugu zanguni naomba kujulishwa jinsi albadil inavyofanya kazi. Kuna MTU kaniibia kiasi kikubwa sana cha hazina yangu, sitaki afe ila nataka arudishe mwenyewe na wala asipatwe na wazimu maana najua karma ita ni haunt kama anavyoamini Pascal Mayalla Na Mshana Jr.
WEMA USIO MIPAKA, WEMA USIO KIFANI.
kuna picha nyingi Gaza zimetoka, wayahudi wanavunja msikiti, wananyea hadi mavi, wanakebehi kuran wanazozikuta mle, wanafanya ufirauni wote na kwasababu wengine ni mashoga hadi wanafirana mlemle, hakuna jini limewapata. miaka 70 tangu Israel ijijenge, waislam wameomba al badili zote hadi wamemaliza kuran yote, hakuna hata moja iliwahi kuwapata wayahudi. kwahiyo wakija kwako leo, wakikutishia albadili waambie tu mshindwe kwa Jina la Yesu. ni uchawi tu wanakutishia, hakuna cha mungu wala shemeji yake mungu.hapo ndio utajua dini ya kweli ni ipi na ya uongo ni ipi. FaizaFoxy