wakunyonya
JF-Expert Member
- Feb 5, 2024
- 969
- 2,333
Kaibe TV ya mpemba ndiyo utajua maana ya albadili
Siongei na watoto wadogo na wajinga kama weweNi mataahira tu mnaweza kua mnaamini ule uhayawani. Huwezi kua na akili timamu ukaamini ule uharo. Basi kanisomee albadili.
Mpemba nuksi,kuna wezi waliiba dukani kwake walibeba mzigo wote wa nguo,kesho yake walirudisha wenyewe na wakampigia simu kuwa tumerudisha mzigo wako,halafu mbona umetoa taarifa Polisi?Kaibe TV ya mpemba ndiyo utajua maana ya albadili
😂😂😂😂 Mpemba hatar mzeeMpemba nuksi,kuna wezi waliiba dukani kwake walibeba mzigo wote wa nguo,kesho yake walirudisha wenyewe na wakampigia simu kuwa tumerudisha mzigo wako,halafu mbona umetoa taarifa Polisi?
Ni wajinga ambao wanawadanganya wajinga wenzao kuwaaminisha ujingaKwahiyo mungu amekubaliana nao na namna walivyo ibadilisha hiyo dua?
It is myth, something does not exist at allHaya mambo nimekuja kuyajulia Dar, kwetu Bulongwa Makete Uislam hauko.
Ndugu zanguni naomba kujulishwa jinsi albadil inavyofanya kazi. Kuna MTU kaniibia kiasi kikubwa sana cha hazina yangu, sitaki afe ila nataka arudishe mwenyewe na wala asipatwe na wazimu maana najua karma ita ni haunt kama anavyoamini Pascal Mayalla Na Mshana Jr.
WEMA USIO MIPAKA, WEMA USIO KIFANI.
Hahaha asanteIlikuwa ni vita vya Badr (jisomee)
Enzi za Mtume SAW na wanapiganaji wengi na waliokuwa nae kwenye vita walikuwa wanasoma Dua hiyo kwa kumuomba Mungu sana
Haihusiani lolote na uchawi wala kumroga mtu, waswahili ndio wamebadili na kuwa mengine
Hao ni washirikina kama washirikina wengine tu
Pamoja mkuu, ni kueleweshana tu maana wanawachanganya sanaHahaha asante
Weka kwa uwazi umeibiwa nini na njia gani iliyotumika ili na sisi tujihadhariHaya mambo nimekuja kuyajulia Dar, kwetu Bulongwa Makete Uislam hauko.
Ndugu zanguni naomba kujulishwa jinsi albadil inavyofanya kazi. Kuna MTU kaniibia kiasi kikubwa sana cha hazina yangu, sitaki afe ila nataka arudishe mwenyewe na wala asipatwe na wazimu maana najua karma ita ni haunt kama anavyoamini Pascal Mayalla Na Mshana Jr.
WEMA USIO MIPAKA, WEMA USIO KIFANI.
Siwezi ku discloseWeka kwa uwazi umeibiwa nini na njia gani iliyotumika ili na sisi tujihadhari
Zingatia hili.Stori tu hakuna kitu kama hicho.
Hizo ni hadithi za kihayawani za kidini za kutishia wajinga.
Really? Kwa hiyo unataka kusema wewe huwa unasomewa kila siku Na hudhuriki?It is myth, something does not exist at all
Israel wana uchawi wa kuzimu hawarogekiMungu hayupo na dini ni utapeli.
Albadir, Novena... vyote ni danganya toto
Ingekuwa kweli basi Palestina wangewasomea Israel albadir basi.
Sitaki adhurike, nataka tu anirudishie hazina yanguACHANA NA ALBADIL NDUGU YANGU NI JAMBO AMBALO HALIMPENDEZI MUUMBA.