FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
ndo hapo sasa FL,
huyu alikuwa tishio.sasa naona mara ghafla mara ghaflaaaaaaaa!
niliwahi kujiuliza pia kuhusu banza,lakini nilipomwona mwananyamala hosp,niliamua kukaa kimya!
sasa huyu sijui.................
kuna kipindi alikuwa anaumwa mguu alipopona mguu sijui nndo akaishia labda uarabuni au ...waandishi wa habari watutafutie huyu bibie maana ndo kazi yao