Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,683
- 2,158
Nauliza kwa nia njema tu maana yule Mkurugenzi wao alivyokuja tuliambiwa "amekubali kulipa"!
Dawa ya deni ni kulipa, hebu tupeni update mliopo jikoni! Zimeshalipwa!? Zimeingizwa kwenye mfuko gani!? Kama bado, lini watatulipa mijihela yetu!?
Dawa ya deni ni kulipa, hebu tupeni update mliopo jikoni! Zimeshalipwa!? Zimeingizwa kwenye mfuko gani!? Kama bado, lini watatulipa mijihela yetu!?
