Hivi ACACIA /BARRICK wanatulipa hela yetu lini!?

Hivi ACACIA /BARRICK wanatulipa hela yetu lini!?

Tutalipwaje wakati wanaume wanaendelea kuripot hasara?

Kwa awamu hii kweli unategemea tungelipwa kimyakimya, wangetuma hadi sms ta Mpesa kuonyesha muamala tena kwa barua yenye Adam na Hawa
 
Hiyo kishika uchumba tuliyoahidiwa na WANAUME wa Barrick/Acacia tusahau.....

Kwa kuwa zile zilikuwa fix za kutusaahaulisha zile Noah zetu tulizoahidiwa hapo awali!
 
Typo busy na uchaguzi, ngoja upite utamsikia slowslow
 
Kishika uchumba wamesema tuchukue Yale makontena ya magwangala pale bandarini aliyoyazuia Mzee wakiwa wanajipanga kuja kulipa mahari kamili
 
Hakuna Raisi wa nchi aliyekataa kupokea pesa kutoka kwa Mabilionea Wa Dunia... Hata Netanyahu ana kesi kwa Sasa
 
Back
Top Bottom