Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,124
- 201,141
Do you think that's a guarantee?Duh! noma sana aisee ndio maana naogopaga kutoa Papuchi yangu ovyo ovyo..
Just pray to God these things are so confusing friend
Do you think that's a guarantee?Duh! noma sana aisee ndio maana naogopaga kutoa Papuchi yangu ovyo ovyo..
tena wanawake ndo rahisi sana kuambukizwa kwasababu hata ukitumia condom, ukichapwa vizuri ukachanganyikiwa mwanaume anaweza kuchomoa condom bila wewe kujua akaendelea kavu. hapo bado sijui chumvini ambapo mate pia yanaambukiza, bado kiss etc. tuache uzinzi.Duh! noma sana aisee ndio maana naogopaga kutoa Papuchi yangu ovyo ovyo..
Kondom inachomolewa haujui, upo dunia nyingne hahahatena wanawake ndo rahisi sana kuambukizwa kwasababu hata ukitumia condom, ukichapwa vizuri ukachanganyikiwa mwanaume anaweza kuchomoa condom bila wewe kujua akaendelea kavu. hapo bado sijui chumvini ambapo mate pia yanaambukiza, bado kiss etc. tuache uzinzi.
Hao wote wamepimwa tarehe moja ?Tuendelee kuwa na Tahadhari na Tusiojua afya zetu tukapime
NB: Kwanini positive results must be cofemd with uniGold & why not negative Result
Tuliokuwa nao tuwalinde Wengine na tuzingatie mashartiView attachment 2006543
Kwan homa ya ini lazima awe na hiv?Mitaani vijana wanachomekana nyama mbichi in short wamejisahau sana,ila ukweli HIV ipo na inakata sana mtaani hizi homa za ini sijui figo au pneumonia zinasingiziwa kutokana na zinaambatana na ukimwi.
sio kuchomoka tu, hata kupasuka. nilishachomoa sana ndomu na demu hajui kipindi niko kwenye hiyo dunia. hii ni kwasababu mwanaume huwa haenjoy ndomu kuliko kavukavu. kwani ukipigwa kifo cha mende nikajifanya huku chini naweka vizuri na mnavyogeuziaga sura huko, nikiweka hata ukijitikisa si nimeshaweka?, au chuma mboga unaputuka tu kitu kinaenda unapokuja kustuka tayari napiga moto na kwajinsi unavyojisikia vizuri unaweza kuamua kuendelea tu hata kama utahisi vingine. pia, ukishajojoa la kwanza kwenye ndom, la pili ukipigwa condom fake kwa kupigwa kavukavu kama ninavyosema jua kuna manii yanakuwa yamebaki kwenye mruja wa urethra ya mwanaume, yatakuingia, utapata sio ukimwi tu hata mimba unaweza.Kondom inachomolewa haujui, upo dunia nyingne hahaha
HIVunaongelea ukimwi au HIV
Bia tamDuh! noma sana aisee ndio maana naogopaga kutoa Papuchi yangu ovyo ovyo..
We acha tu mi nimeahirisha game!Duh! noma sana aisee ndio maana naogopaga kutoa Papuchi yangu ovyo ovyo..
Hivi wakiendaga kuchukua dawa si hua wanapimwa tena ?Yani watu 20 wamepimwa kwa siku moja wote wameungua
Nmeshangaa kwa kweli kumbe hali ni mbaya jamnYani watu 20 wamepimwa kwa siku moja wote wameungua
Mmmh!Ebu nicheki private tuyajenge,maana na mimi kwa kweli huwa simtoi hovyo King wangu.
Navyosikiaga waga kuna stage ikifika ndio unaanzishiwa dawa sio kwamba ukishakutwa nao tu unaanza dawa,, ila kama hiyo picha ni kweli basi hali ni mbaya sana mtaaniwakiendaga kuchukua dawa si hua wanapimwa tena ?
Asikwambie mtuBia tam