Millionaire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 300
- 501
Usiibanebane...Asikwambie mtu
Usiibanebane...Asikwambie mtu
Daah wengine wapo wanajua hilo,kuwa huyu nikilala nae ninaweza kuupataChangamoto ni wale walio na HIV, huwa hawapo tayari kusema kuwa walishaukwaa hata kama anajua kabisa akizini na wewe atakuambukiza!
Kiufupi hakuna mtu aliyewahi kupata HIV kwa kujua kuwa anaenda kuukanyaga!
Miaka kumi hata kuumwa kitu?yaan kiashiria chochote ? Sio kweli lazima kuna siku utaisi kitu tuWanaktumia dawa za ARVs c rahisi wawaambukize wengine na pia mtu unaweza kuwa HIV positive kwa miaka mpaka 10 bila kuona dalili
Vvu Ina stages zke kwanzia acute mpaka chronicMiaka kumi hata kuumwa kitu?yaan kiashiria chochote ? Sio kweli lazima kuna siku utaisi kitu tu
HatariousWanaktumia dawa za ARVs c rahisi wawaambukize wengine na pia mtu unaweza kuwa HIV positive kwa miaka mpaka 10 bila kuona dalili
Toa somo pleaseVvu Ina stages zke kwanzia acute mpaka chronic
Haiwezekan lazima utumie maji yake yaleWapendwa naomba kuuliza unaweza chukua kipimo cha HIV baada ya kuweka damu badala ya kutumia ile dawa au maji yakupimia HIV ukatumia maji yakawaida ya bomba au kisima ukadondoshea ikatoa majibu???
Unaweza usiitoe ovyo ovyo lakin bado ukaupata. Mda mwingne aka kaugonjwa anaekuletea ni Yule unae muamin.Duh! noma sana aisee ndio maana naogopaga kutoa Papuchi yangu ovyo ovyo..
MmmmmmmhUnaweza usiitoe ovyo ovyo lakin bado ukaupata. Mda mwingne aka kaugonjwa anaekuretea ni Yule unae muamin.
Tunapima kwanza wanguDuh! noma sana aisee ndio maana naogopaga kutoa Papuchi yangu ovyo ovyo..
Lazima utambue vvu ukiipata utaanza kuona dalili baada ya wiki mbili na dalili huwa homa kukohoa kifua kubana rashes kichefuchefu mafua na kukosa hamu ya kula Kisha hizo dalili hupotea. Ila sio wote huonyesha au kupata hizo dalili.Toa somo please
Ukimwi hauna tibaaTIBA ASILI; Tumia mizizi ya
Tiba ipo mkuu we sema Kama unao usaidiwe!Ukimwi hauna tibaa