Mdogo wangu ushukuru hamna asilimia maana watu walikuwa wanajuta kujua 70% ni kiasi gani. utaratibu huu wa bodi umekomesha boom zenu kuibiwa vyuoni kwani utaweza kufuatia shilingi hadi shilingi. unatakiwa ufurahie utaratibu huo
ndo sehem mtakayoshkiwa enz zet sisi ni asilimia bt nw hata ufaneje ada utalipa