NN, mzambarau bado upo,halafu kumbe kuna mbuyu, halafu kuna yale matunda kama mabungo kule nyuma, tulikuwa tunafanya kitenesi; nimepata kamera leo, nikiweza kesho nitaweka snepu humu - yale mabwawa 7 sasa yana mvuto wa ajabu hata siwezi kuelezea, subiri picha!