Historia ya Sarafu Yetu Tanzania

Umetukumbusha mbali ingawa sio mbali sana kwa maisha
Nimeziona za mkoloni mpaka zilipokuja kubadilika na kuja za uhuru
Senti 20 unapata chapati zako na kachumbari
Kilo ya nyama nakumbuka ilikuwa Tsh 1.70
Utumbo senti 60
Yaani nikikumbuka hela yetu ilivyokuwa na thamani
Ilipotoka noti ya masai nadhani ndio ikaanza kushuka kidogo
 
nini maana ya neno SHILINGI??
kwa nn tulibadili kutoka CENT kwenda SHILINGI?? maana tungekua na "cent 100,cent 10,000 cent 100,000 n.k
 
nini maana ya neno SHILINGI??
kwa nn tulibadili kutoka CENT kwenda SHILINGI?? maana tungekua na "cent 100,cent 10,000 cent 100,000 n.k
 
name nimekumbuka sarafu nilizotumia kutokana na umri wangu, kuazia sent 50 hadi hizi za leo
nini maana ya neno SHILINGI??
kwa nn tulibadili kutoka CENT kwenda SHILINGI?? maana tungekua na "cent 100,cent 10,000 cent 100,000 n.k
 
nini maana ya neno SHILINGI??
kwa nn tulibadili kutoka CENT kwenda SHILINGI?? maana tungekua na "cent 100,cent 10,000 cent 100,000 n.k
Jina la Shillingi limetokana na neno la kijerumani la Schilling ambalo asili yake ni neno la zamani sana (miaka takriban mia elfu mbili zilozopita) katika lugha za Vikings wa nchi za Scandinavia la Skilling lililokuwa na maana ya thamani wakati huo. Waingereza waliamua kutumia sarafu ya Shilingi katika makoloni yake yote mwaka 1920 baada ya vita kwa vile sarafu hiyo ilikuwa maarufu katika nchi kadhaa za Ulaya ambako Ujerumani ilikuwa imepoteza influence. Ilitumika katika nchi kama Australia, New Zealand, Austria, Uholanzi na kwingineko. Senti moja ni sehemu mia moja za shillingi; nadhani unajua kuwa katika vipimo kuna vitu kama sentimita yaani sehemu mia moja za mita, sentilita, yaani sehemu mia moja za lita na kadhalika. Kwa hiyo Senti haikubadilishwa kwa shillingi, ila baada ya shilingi kuporomoka thamani kiasi hcvho ilikuwa ni wazi kuwa vipande vyake havikuwa na thamani pia katika matumizi ya kawaida, ndiyo maana huzioni senti huko mitaani.
 
shukran mkuu nimekuelewa
 
Mkuu ilikuepo na hii
 

Attachments

  • IMG_20181218_173407.jpg
    40.2 KB · Views: 171
  • IMG_20181218_173426.jpg
    57.6 KB · Views: 175
Hii inajulikana kitaalamu kuwa ni plagiarism!
 
Ogah,

wewe unaziona hizo picha za sarafu?

mimi naona vijialama vya times (x) rangi nyekundu tu.
Mi naziona tena vizuri kabisa na nyingi kwa bahati za kuanzia 1966 nimeztumia nikiwa mdogo miaka ya sabini mwishoni na kuendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…