Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,008
- 44,837
Umetukumbusha mbali ingawa sio mbali sana kwa maisha
Nimeziona za mkoloni mpaka zilipokuja kubadilika na kuja za uhuru
Senti 20 unapata chapati zako na kachumbari
Kilo ya nyama nakumbuka ilikuwa Tsh 1.70
Utumbo senti 60
Yaani nikikumbuka hela yetu ilivyokuwa na thamani
Ilipotoka noti ya masai nadhani ndio ikaanza kushuka kidogo
Nimeziona za mkoloni mpaka zilipokuja kubadilika na kuja za uhuru
Senti 20 unapata chapati zako na kachumbari
Kilo ya nyama nakumbuka ilikuwa Tsh 1.70
Utumbo senti 60
Yaani nikikumbuka hela yetu ilivyokuwa na thamani
Ilipotoka noti ya masai nadhani ndio ikaanza kushuka kidogo