mi siamini kama wewe miss neddy ni msichana lazima utakuwa ni mmama mtu mzima wa busara yaani umetoa ushauri wa busara sana ningejua uko wapi ningemleta mke wangu umpe ushauri maana na yeye ni mamaa kununa
hivi mtu akiuudhi kununa ndo suluhisho? Mume hanuniwi ulikosea tangu mwanzo kama kakosa kaa nae chini mwambie 1,2,,3 sijapenda baada ya hapo kama anajirekebisha maisha yanasonga kama kawa na mwanaume asiechepuka hapa duniani ni moja ya kumi baada ya kugundua anachepuka usingenuna ungesuluhisha sidhani kama mngefika mahakamani
Haustahili pole yangu, hautambui kuishi na mume, na kwa haraka haraka nimeshakusoma wewe ni mkorofi. Haiwezekani umnunie mume na utake aombe msamaha kwa umbea uliosikia kwenye saloon zenu. Umekuwa kero kwake ndo maana kakukimbia. Wanawake wengi ni wapuuxi sana na wewe ni mmoja wao.Asante sana
hahaha ahsante mi bado mbichii najikongoja kwenye hii sekta ila nadhani hata huko uliko wazee wenye hekima hawakosekani mpeleke akapate semina upyaa jinsi ya kulea Ndoa nadhani kajisahau tu
Wanawake wote wanatakiwa kuwa hivi.....
Bila Mungu hayo unayosema HAYAWEZEKANI.Hata ukikesha unajishusha sana sana utaonekana mjinga fulani.Mwanadamu siku zote hanaga shukrani.Jema kwake baya na baya ndo linafuta mema yote.ili ndoa iwe salama ni lazima mwanamke awe ndo kipoozeo moto unapokuwa mkubwa lakini mwanamke akiwa petroli na ugomvi unapotokea anaimimina ndoa hiyo itakufa tu au mtapeana UKIMWI tu.WANAWAKE siku hizi wamesahau sana kuwa wao ni wanawake wanajaribu kushindana nasi hamtaweza ngo sanasana utazalishwa tu wanawake wenzio wanaojua kubembeleza wanamfaidi mumeo.NIWASHAURI WANADADA NA WANANDOA WANAWAKE MUME NI MFANO WA........ HIVYO MUHESHIMU AKIKUFANYIA KOSA ONGEA NAYE TARATIBU NA MPE USHAURI KWA KOSA ALILOFANYA NAYE ATAUMIA MOYONI MWAKE NA KUTAMBA NA KUFURAHI NA KUJIVUNA NINA MKE NA SI LIMWANAMKE. SISI HATUTAKI WANAWAKE WANAOPIGA MAKELELE TU AMA KULIA AMA KUFOKA TUNATAKA WANAWAKE WAPOLE NA WANYENYEKEVU
umenchekesha sana
tena huyo anao wa baba mmoja anaolewa kabisas