Historia ya ndoa yangu

hamna ndoa hapo kuna vyeti vya ndoa kuwafanya mshiriki kanisani na mkifa mzikwe bass
hapo kila mtu anatamani mwenzie atangulie kufa
 
Poleee. Wanaume n majtu ya ajabu sana tena sana
 

napendaga sana comments zako ujue
 
pole sana mtoa mada ila naona hata wewe hukuwa na nia ya dhati ya kulinda ndoa yenu
 

Nimeupenda ushauri
 
Siku mapaa ya nyumba yakifumuliwa na kuta za viambaza vya nyumba kuporomoka, duniani hapatatosha.

Pole sana mwanamama, wewe endelea kupambana na maisha, usikate tamaa, pigania familia yako na Mungu atakujaalia.

Vv
 
Duh...!!

Huna watu wa ukweli unaofahamiana nao ambao unaweza ukawaeleza masahibu ya ndoa yako hadi uje humu kwa mazimwi......

NN, Mazimwi wapo hapa JF, lakini pia hata Malaika wamo.

BTW, wewe Nyani ngabu, nawe ni Zimwi?
 

Kwahiyo yaambasa mwenzako akiwa kwenye hali kama hii humsaidii kabisa ? hivi unadhnai kweli mwanaume aliyekamilka anaweza endelea baki ndani kwa mazingira kama haya ya kunyimwa "conjugal right "
 
Last edited by a moderator:

Hahahah hii stori imenishtua afu mwisho nimekenua kwa kicheko sijui mama mtu alikuwa kwenye hali gani kabla ya kumalizia kusoma mwisho kabisa
 
wakati mie nina watoto 4 na natafuta mchumba
Kuolewa ni rahisi ila watoto wakikua hapo ndo muziki unogile.....Kila mtoto anajipambanua kwa ubini na Mama anaanza kuside na watoto aloolewa nao. Kukiwa na kidume ndicho kinaharibu mambo yote. Na kwa huyu mwanaume kama atakuwa na mtoto wa kike, akiwa mkubwa kunachimbika kwa mama wa kambo. Jamani angalia familia muungano zilivyo uzeeni. Unless Baba ana watoto wa kiume tu na mama ana wa kike tu (ingawa mbele ya safari si ajabu kukuta wajukuu wa ndani)
 
umenchekesha sana
tena huyo anao wa baba mmoja anaolewa kabisas

watoto sita huyo mwanaume anayefanya maamuzi magumu namna hiyo kama hana matatizo ya kizazi au akili basi atokapo alikuwa na mwanamke mzigo kama gunia la misumari
 
Acha kununa ila pole kwa majanga
 
Nimeupenda ushauri

ili ndoa iwe salama ni lazima mwanamke awe ndo kipoozeo moto unapokuwa mkubwa lakini mwanamke akiwa petroli na ugomvi unapotokea anaimimina ndoa hiyo itakufa tu au mtapeana UKIMWI tu.WANAWAKE siku hizi wamesahau sana kuwa wao ni wanawake wanajaribu kushindana nasi hamtaweza ngo sanasana utazalishwa tu wanawake wenzio wanaojua kubembeleza wanamfaidi mumeo.NIWASHAURI WANADADA NA WANANDOA WANAWAKE MUME NI MFANO WA........ HIVYO MUHESHIMU AKIKUFANYIA KOSA ONGEA NAYE TARATIBU NA MPE USHAURI KWA KOSA ALILOFANYA NAYE ATAUMIA MOYONI MWAKE NA KUTAMBA NA KUFURAHI NA KUJIVUNA NINA MKE NA SI LIMWANAMKE. SISI HATUTAKI WANAWAKE WANAOPIGA MAKELELE TU AMA KULIA AMA KUFOKA TUNATAKA WANAWAKE WAPOLE NA WANYENYEKEVU
 
Duh...!!

Huna watu wa ukweli unaofahamiana nao ambao unaweza ukawaeleza masahibu ya ndoa yako hadi uje humu kwa mazimwi?

Ila cha muhimu ni wewe kujiskia vizuri. Kwa hiyo kama umejisikia vizuri kwa kufunguka humu basi haina shida.
Kwa hiyo na wewe ni mmoja wa mazimwi wa humu.
 
yaambasa

Naomba kukuuliza, hakuna chanzo kingine ni hilo la kucheat tu?

Halafu huko alikokimbilia ni kwa hyo aliyekuwa anacheat nae?


Naona hapa kuna tatizo kubwa!
Spiritual husband&spiritual wife
Hakuna mshindi lzm ndoa ivunjike unless seek the face of God
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…