Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,622
- 10,247
Kama kweli unamwamin Mungu muulize umekwama wapi atakuambiaNi kweli
Funga ukiomba atakuambia
Kama kweli unamwamin Mungu muulize umekwama wapi atakuambiaNi kweli
Vipi kama akiona kesho kwenye media nimefariki...je ata regret alichocomment?
Cause my mind has accepted death already.
Note: kuna wakati nilipitia wakati mgumu sana ...sijaandika kisa hicho huko juu....
Nakumbuka nilienda tegeta kwà ndevu nikanunua sumu kali sana kwenye maduka ya pembejeo.
Nikarudi home , nikanywa ile sumu....nikaanza kutokwa jasho jingi sana....huku nimejiandaa kufa kabisa...nilikua nimeweka Biblia kifuani pamoja na KATIBA ya Tanzania.
Nilitokwa jasho jingi sana ....baada ya masaa mawili nikaona sijafa , nikamwambia Ndugu aliyekua akininyanyasa anipeleke hospital nimekunywa sumu..
Nikapelekwa IMTU hospital...nikawekewa drip kadhaa.....kesho yake nikatolewa.
Nikaondoka kwà yule Ndugu , mpaka leo sijakanyaga kwake. Nilinyanyasika sana.
This is a forbidden knowledge.Naomba elimu kidogo ya hapa
Chukua kalamu na karatasi , ...weka title ya topic au kitu unachotaka kukijua.....then utashangaa kuona vitu vinashuka tu. Just like that.
Namuamini sana sana. Kuhusu kufunga na kuomba, kwangu ni suala la kawaida.Kama kweli unamwamin Mungu muulize umekwama wapi atakuambia
Funga ukiomba atakuambia
Pepa gani?...leo dogo ameanza pepa...
Haufanyi kwa malengo bali kwa mazoeaNamuamini sana sana. Kuhusu kufunga na kuomba, kwangu ni suala la kawaida.
Na funga zangu Huwa ni za no food no water ....kama una kitanda...unajinyima hata kulala sehemu nzuri....
My friend , you can say it all...but adui anajua na Huwa anashangaa sana nikivuka mitego yake...Mimi ningekua nimeishakufa kitambo sana Ndugu.Haufanyi kwa malengo bali kwa mazoea
Natanguliza shukuraniMi nakushauri sana achana na hilo wazo la kujitoa uhai kuna kitu potential sana nakiona kwako.
Mkuu usikubali kufa kizembe humu kuna wataalam wengi kama alivuoshauri mdau hapo juu muone mshana jr inbox naamini atakupa ushauri sahihi wa namna ya kutoka katika hili janga pia kama kuna yeyote mwingine mwenye msaada wa hili nadhani amsaidie huyu mdau atakuwa amefanya jambo la maana sana maana anahitaji tu kufunguliwa vifungo alivyonavyo
Ni kweli. This situation is very tough my friend. Very tough & tight!Kubali shida kama zinakuua zikuue lakini siyo kuzisaidia kukua kwa kujiwahisha utakuwa umeudhalilisha sana umwamba wako mkuu
...primary yupo std.7... Waoombeen madogo wafauluPepa gani?
My friend .....hayo yote nimefanya....kwà wakubwa na wadogo pia. Kiufupi, nimetest kufanya mambo mengi sana Ndugu.Ni dhahiri kwamba umefungwa katika nguvu za giza (uchawi). Ushauri wangu tafuta mtumishi wa Mungu wa ukweli akufanyie maombezi/dua ufunguliwe. Kumbuka ni mtumishi wa Mungu wa ukweli, sio maarufu. Tafuta wale ma underground ambao hawajulikani lakini awe powerful. Kaa nae kama mwezi mzima hivi utaona mwanga.
Sawa...primary yupo std.7... Waoombeen madogo wafaulu
Sasa unamshauri afanye nini mkuu?!Mmh historia yako inafikirisha sana lakini kwa mtazamo wangu kuna mahali huko sekondari kuna watu walichungulia nyota yako wakaona nguvu yake na kuamua kukupiga na kitu kizito
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemshauri mambo mawiliSasa unamshauri afanye nini mkuu?!
Pengine ushauri wako ukawasaidia na wengine pia?!
Hebu tukumbushe tena hiyo tiba ya chumvi mkuu?!Ukiweza na kwa imani nakushauri jaribu kutumia tiba ile ya chumvi itakusaidia pakubwa
Sent using Jamii Forums mobile app