Historia ya Mzee Kipusa

Historia ya Mzee Kipusa

Siwezi kufanya Yoga...., cause najua side effects zake.

Mimi nafanya meditation kama wafanyazo viongozi mfano :- Mwalimu Nyerere....au walizokua wakizifanya mitume na manabii...

Chukua kalamu na karatasi , ...weka title ya topic au kitu unachotaka kukijua.....then utashangaa kuona vitu vinashuka tu. Just like that.
Effect za yoga ni zipi? Na sisi tujifunze mkuu.
 
Mkuu nimesoma stori yako na comments za watu na replies zako zote nikiri kama hautungi stori kuna kitu ambacho si cha kawaida kinakuandama.

Ila kwa uwezo ulionao wa maono naamini ukijipa muda wa kukitafakari utakipata hasa shida ilipoanzia.

Nimeona kuna mdau mmoja amekuomba muonane pm naamini kama yuko serious atakupatia nadhani mwanga maana ameonyesha pia anakufahamu.

Kiukweli kwenye hii dunia kuna watu wanapitia mambo mengi magumu sana japo wana vitu adhimu sana kama uliweza kuota au kuona mambo makuu wakati wa JPM sijajua kuna shida gani hata watu wa idara ya usalama hawakukuchukua kusaidia eneo la ulinzi wa taifa hili.

Ni kama pia unakata tamaa ya kuishi mimi nikusihi mkuu hakuna sababu yoyote ya kujidhuru pambania maisha yako naamini kwa uwezo wako utapata tu suluhu.

Mwisho swali la kizushi samahani lakini naomba kujua msimamo wako juu ya bandari zetu na hatima ya taifa hili kwa siku hizi za karibuni na mambo yanavyokwenda.
 
Mkuu nimesoma stori yako na comments za watu na replies zako zote nikiri kama hautungi stori kuna kitu ambacho si cha kawaida kinakuandama.

Ila kwa uwezo ulionao wa maono naamini ukijipa muda wa kukitafakari utakipata hasa shida ilipoanzia.

Nimeona kuna mdau mmoja amekuomba muonane pm naamini kama yuko serious atakupatia nadhani mwanga maana ameonyesha pia anakufahamu.

Kiukweli kwenye hii dunia kuna watu wanapitia mambo mengi magumu sana japo wana vitu adhimu sana kama uliweza kuota au kuona mambo makuu wakati wa JPM sijajua kuna shida gani hata watu wa idara ya usalama hawakukuchukua kusaidia eneo la ulinzi wa taifa hili.

Ni kama pia unakata tamaa ya kuishi mimi nikusihi mkuu hakuna sababu yoyote ya kujidhuru pambania maisha yako naamini kwa uwezo wako utapata tu suluhu.

Mwisho swali la kizushi samahani lakini naomba kujua msimamo wako juu ya bandari zetu na hatima ya taifa hili kwa siku hizi za karibuni na mambo yanavyokwenda.
 
Mkuu nimesoma stori yako na comments za watu na replies zako zote nikiri kama hautungi stori kuna kitu ambacho si cha kawaida kinakuandama.

Ila kwa uwezo ulionao wa maono naamini ukijipa muda wa kukitafakari utakipata hasa shida ilipoanzia.

Nimeona kuna mdau mmoja amekuomba muonane pm naamini kama yuko serious atakupatia nadhani mwanga maana ameonyesha pia anakufahamu.

Kiukweli kwenye hii dunia kuna watu wanapitia mambo mengi magumu sana japo wana vitu adhimu sana kama uliweza kuota au kuona mambo makuu wakati wa JPM sijajua kuna shida gani hata watu wa idara ya usalama hawakukuchukua kusaidia eneo la ulinzi wa taifa hili.

Ni kama pia unakata tamaa ya kuishi mimi nikusihi mkuu hakuna sababu yoyote ya kujidhuru pambania maisha yako naamini kwa uwezo wako utapata tu suluhu.

Mwisho swali la kizushi samahani lakini naomba kujua msimamo wako juu ya bandari zetu na hatima ya taifa hili kwa siku hizi za karibuni na mambo yanavyokwenda.
Umeandika vitu ambavyo nimevisoma between the lines ..mpaka machozi yamenilenga.

Kuhusu bandari...Mimi ni Mzalendo. Kama una akili na utashi , unaweza kujua jibu la Mzalendo linaweza kuwaje. Cause bandari ni issue inayoigusa Nchi pamoja na Ardhi yake.
 
Umeandika vitu ambavyo nimevisoma between the lines ..machozi yakanilenga.

Kuhusu bandari...Mimi ni Mzalendo. Kama una akili na utashi , unaweza kujua jibu la Mzalendo linaweza kuwaje. Cause bandari ni issue inayoigusa Nchi pamoja na Ardhi yake.

Umeandika vitu ambavyo nimevisoma between the lines ..mpaka machozi yamenilenga.

Kuhusu bandari...Mimi ni Mzalendo. Kama una akili na utashi , unaweza kujua jibu la Mzalendo linaweza kuwaje. Cause bandari ni issue inayoigusa Nchi pamoja na Ardhi yake.
Ahsante sana mkuu!!

Mi nadhani unahitajika kuvumilia kwa changamoto unazopitia ila mi naamini zinakuimarisha kwa jambo fulani kubwa mbele.

Usikate tamaa na wala hakuna haja ya kujiua au kutamani kufa maana hata ktk hilo pia hakuna suluhisho. Kwakweli ningekuwa na namna ningekusaidia hata kukipatia ajira sema na mimi ni walewale tu wasiona bahati nafasi zimekaliwa na watu ambao wengi wao hawana huruma kwa wahitaji wanajifikiria wao tu na familia au uzao wao
 
Ahsante sana mkuu!!

Mi nadhani unahitajika kuvumilia kwa changamoto unazopitia ila mi naamini zinakuimarisha kwa jambo fulani kubwa mbele.

Usikate tamaa na wala hakuna haja ya kujiua au kutamani kufa maana hata ktk hilo pia hakuna suluhisho. Kwakweli ningekuwa na namna ningekusaidia hata kukipatia ajira sema na mimi ni walewale tu wasiona bahati nafasi zimekaliwa na watu ambao wengi wao hawana huruma kwa wahitaji wanajifikiria wao tu na familia au uzao wao
Amina
 
You're not serious with this comment! I think you're just kidding! That's my thought
Vipi kama akiona kesho kwenye media nimefariki...je ata regret alichocomment?

Cause my mind has accepted death already.


Note: kuna wakati nilipitia wakati mgumu sana ...sijaandika kisa hicho huko juu....

Nakumbuka nilienda tegeta kwà ndevu nikanunua sumu kali sana kwenye maduka ya pembejeo.

Nikarudi home , nikanywa ile sumu....nikaanza kutokwa jasho jingi sana....huku nimejiandaa kufa kabisa...nilikua nimeweka Biblia kifuani pamoja na KATIBA ya Tanzania.

Nilitokwa jasho jingi sana ....baada ya masaa mawili nikaona sijafa , nikamwambia Ndugu aliyekua akininyanyasa anipeleke hospital nimekunywa sumu..

Nikapelekwa IMTU hospital...nikawekewa drip kadhaa.....kesho yake nikatolewa.

Nikaondoka kwà yule Ndugu , mpaka leo sijakanyaga kwake. Nilinyanyasika sana.
 
Back
Top Bottom