MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,971
- Thread starter
- #161
Amina kubwaHuwezi kufa kama wewe ni chagua la Mungu ila ujiandae kupigana vita...
Amina kubwaHuwezi kufa kama wewe ni chagua la Mungu ila ujiandae kupigana vita...
Ndo useme sasa, what do you want..?Nahitaji mikono yangu ifanye Kazi.
Nahitaji kufanya Kazi , nahitaji Mama anirudishe kazini. Nahitaji kuona Karama yangu , Kipaji na Kipawa .( Nilivyopewa na Mungu wangu ) .vikitumika katika kutoa mchango wa kulisukuma na kuliendeleza gurudumu la Taifa letu.Ndo useme sasa, what do you want..?


Hata kama unasema hauko kwenye system yao, kwa ushauri nasaha uliowapa sidhani kama wangekuacha kukutumia hasa baada ya kuwashauri juu ya mambo nyeti yaliyohusiana na usalama wa kiongozi wa nchi!!! Isingekuwa rahisi kukuacha barabarani mtu ambae ni msaada kwenye majukumu yao. Kama wamekuacha bila kukutumia tena basi kuna kasoro mahala unayotakiwa uirekebishe.Hapana Ndugu yangu....Mimi sipo kwenye KITENGO.
Ni jukumu letu sote kuhakikisha Taifa letu linakua salama wakati wote.
Hizo ofisi sio za kuogopa....ni za kawaida sana kama ukiwa na kitu chenye mantiki.
Mimi nikiwa na jambo...nikakueleza...lazima utanisikiliza tu....kwasababu huwa nakua na details za kutosha.
Na nikiwa na jambo , huwa sio muoga wa kuingia ofisi yoyote.
Kwahiyo, sijawahi kuwakosea hao jamaa kwà namna yeyote ile. Na sipo kabisa kwenye system yao.
Hii bima uliipata kama nani na huwa inalipiwa na nani? serikali au?Note: Katika maisha yangu , nimewahi kuwa homeless mara kadhaa. Na kwà kua ninayo kadi ya bima ya Afya....mateso yalipokua yakinidi Hasa baridi na njaa) ...nilikua naitumia kwenda kupata hifadhi kwenye wodi ya wagonjwa...kwa siku kadhaa. Hospital yeyote wakinikubalia natulia pale.
Nimefanya Kazi ndogo ndogo nyingi sana kukeep up na maisha....lakini to no avail.
Kwa umri na experience yake kazi iliyobaki na inayomfaa ni kuendelea kuwa kachero kama watamkubali!Kwan ulifukuzwa kaz na utumishi?km ulifukuzwa kaz bila utumish unaweza kuomba tena ,ukaajiriwa upya
Nimefukuzwa Kazi na mwajiri wangu ( Mkurugenzi wa Halmashauri )Kwan ulifukuzwa kaz na utumishi?km ulifukuzwa kaz bila utumish unaweza kuomba tena ,ukaajiriwa upya
Mimi nafikiri labda nimesahaulika tu. Siwezi kusema zaidi ya haya.Hata kama unasema hauko kwenye system yao, kwa ushauri nasaha uliowapa sidhani kama wangekuacha kukutumia hasa baada ya kuwashauri juu ya mambo nyeti yaliyohusiana na usalama wa kiongozi wa nchi!!! Isingekuwa rahisi kukuacha barabarani mtu ambae ni msaada kwenye majukumu yao. Kama wamekuacha bila kukutumia tena basi kuna kasoro mahala unayotakiwa uirekebishe.
Wakati unagundua mipango ya kumuondoa Jpm Kule Bungeni na ukafanikiwa kuizuia ulikuwa unawafahamu waliokuwa wamepanga hiyo mipango? Hudhani kaka wao ndio wameshika mpini sasa hivi na kukubania kisawa sawa usitoboe ? ref kesi yako ilivyotupwa hapo mwishoni. Na huoni kama kuandika humu hii kitu ndio utakuwa mwisho wako kwasababu ya kuku silence Mazima ili usiendelee kutoboa?Kiukweli, ninayo ya kuandika hapa lakinj ni forbidden siwezi kuyasema cause Naweza kuonekana kama mwendawazimu, kichaa, chizi au mwehu.
Hii bima ni ya NHIF...wakati nikiwa mtumishi...nilikua na bima pia...lakini yangu haikuendelea kufanya Kazi.Hii bima uliipata kama nani na huwa inalipiwa na nani? serikali au?
kama ndivyo unaloliona na kwa mujibu wako ukiona kitu hutokea. Unaonaje ukitumia muda huu kumwaga kila kitu ukijuacho humu jf? Hii ni kwa maslahi mapana ya wananchi na Taifa lako. Fanya jambo MkuuNajua naenda kufa soon.
Kwamba issue ya kibiti ilimalizwa na police bila wazee kuingia front!!Amina.
Note: Yeyote ambae alikua akifika pale kijijini ilikua lazima achanjwe chale na yule Babu.
Huyu chifu alizikwa huku amekaa! Alikua ni Kiongozi mwenye HEKIMA na Busara sana....
Hii siwezi kuisema...lakini jamaa walitumia television mojawapo pendwa enzi hizo ...waliitumia kama cctv camera....Wakati unagundua mipango ya kumuondoa Jpm Kule Bungeni na ukafanikiwa kuizuia ulikuwa unawafahamu waliokuwa wamepanga hiyo mipango? Hudhani kaka wao ndio wameshika mpini sasa hivi na kukubania kisawa sawa usitoboe ? ref kesi yako ilivyotupwa hapo mwishoni. Na huoni kama kuandika humu hii kitu ndio utakuwa mwisho wako kwasababu ya kuku silence Mazima ili usiendelee kutoboa?
Mwisho kabisa. Unaonekana una kitu na kinaweza kukuleftisha. RIP MZEE KIPUSA
Km unajua hesabu,mbona walimu wa hesabu wana soko sana,hata km hujasomea ualimu,tafuta private schools omba interview ,kaz utapata nenda pale st peter claver iko ihumwa dom utapata.pia ukipata naul ,nenda kwa mwamposa upate mafuta na maji,pia nenda psssf ukajaze form za kudai pension yako ya kufukuzwa kaz,utapewa form upeleke kwa hr wako asign then go on upate hata pesa ya mtaj au naul uende zako majuu,bongo haikutakiNimewahi kuishi katika stand kubwa kubwa za mikoa tofauti...kwenye majumba ya Wasafiri. Nimelala sana kwenye mabenchi.
Nimewahi kutembea kwà miguu kuanzia Asubuhi mpaka usiku , maeneo tofauti tofauti hapa TANZANIA. ( Kwasababu ya Kukosa nauli ya bus )
Nimejishughulisha kufanya Kazi ndogo ndogo nyingi uzijuazo wewe..but to no avail.
Nimesotea Kazi sana migodini. Kiufupi nimepambana sana...kutafuta ridhiki...mpaka kariakoo nilitaka kujaribu kulalia box ...
Sijui NIMEMKOSEA NINI MUNGU wangu.
Nitafurahi sana. Nitagalagala na kulia kwà uchungu mkubwa sana. Mungu akiruhusu nipate kibali hiki.Kwa umri na experience yake kazi iliyobaki na inayomfaa ni kuendelea kuwa kachero kama watamkubali!
Kama waliingia , BASI waliingia kwà vazi la Polisi...but nakumbuka...jeshi la Wananchi lilitaka liende huko...but baadae issue ikahairishwa baada ya jeshi la Polisi kufanya Kazi vizuriKwamba issue ya kibiti ilimalizwa na police bila wazee kuingia front!!