MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,971
- Thread starter
- #261
Sijui Ndugu yangu..sijui.Kwenye shughuli zako ulizofanya kuna Mali zozote unazozimiliki mpaka sasa? kama ulikuwa nazo ziliisha vp?
Sijui Ndugu yangu..sijui.Kwenye shughuli zako ulizofanya kuna Mali zozote unazozimiliki mpaka sasa? kama ulikuwa nazo ziliisha vp?
Kwahiyo unanisaidiaje Ndugu. Au ndio unanipita tu...unanisema na kunikataa.Mi mwenyewe nakuona kama umechanganyikiwa hivi
Kukwambia umechanganyikiwa ni msaada toshaKwahiyo unanisaidiaje Ndugu. Au ndio unanipita tu...unanisema na kunikataa.
Kuchanganikiwa ni nini Ndugu? Nieleweshe tafadhali,...na nifanyeje Ili nitoke katika hali hii, maana inanitesa sana sana.Kukwambia umechanganyikiwa ni msaada tosha
Zingatia pia tunayokushauri boss issue ya kujiua nimekwambia huko juu achana nayoSiwezi kuliweka jina langu halisi hapa.
Lakini kama nitachukua maamuzi magumu. BASI lazima nitaacha ujumbe kwenye mfuko wangu wa suruali ama kwenye mfuko wa shati...kuwadirect watakao uchukua mwili wangu waupitie uzi huu. Hapa Jamii Forum
Hapo ndipo mtalijua jina langu halisi
Sawa Ndugu. Lakini ukweli ndio huo. Labda utokee muujiza.Zingatia pia tunayokushauri boss issue ya kujiua nimekwambia huko juu achana nayo
Mmh..Kuna siku maisha yalinipiga sana nikakimbilia nyumbani kwetu ambako kwasasa sitakiwi tena kurudi....(na Mimi nimeapa nitarudi nimetoboa au marehemu.)
Nikiwa kitandani nimelala...nilistukia napigwa na kitu kizito kichwani mithiri ya nyundo...nikaamka..huku na wenge..nikawa naweweseka...hata nisimuone aliyenipiga hiyo nyundo. Fahamu zikarudi baada ya one minute...huku nasikia maumivu MAKALI sana.
Kuamka Asubuhi....kucheck kwenye pillow..nikakuta karatasi nyeupe imefungwa vizuri ndani yake kuna viunga vyeupe. Sikuelewa kwà kweli.


Nimeusoma uzi.Mmh..
![]()
Kwa wazazi na walezi hii inawahusu
Kuna baadhi ya familia zina migogoro mikubwa,ndugu hawapatani hawapendani wana chuki wivu na kijicho kati yao.Wengine wanafanyiana mambo ya ajabu hata kufikia hatua ya kuendeana kwa waganga,chuki imepitiliza. Lakini chanzo na asili ya tatizo ni wazazi na walezi, kutokuwa fair kwa watoto wote...www.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaetaka kujiua hua asemiZingatia pia tunayokushauri boss issue ya kujiua nimekwambia huko juu achana nayo
Note: Katika maisha yangu , nimewahi kuwa homeless mara kadhaa. Na kwà kua ninayo kadi ya bima ya Afya....mateso yalipokua yakinizidi (hasa baridi na njaa) ...nilikua naitumia kwenda kupata hifadhi kwenye wodi ya wagonjwa...kwa siku kadhaa. Hospital yeyote wakinikubalia natulia pale.
Nimefanya Kazi ndogo ndogo nyingi sana kukeep up na maisha....lakini to no avail.
YawezekanaTatizo lilianzia kutokwenda upadri![]()
You will see it! Very Soon. THIS IS SERIOUS!Anaetaka kujiua hua asemi
Sina familia, sina mke kwasasa ( hata huyu niliyedhani atakua wangu wa maisha kanikataa) ....nina watoto ambao pia siishi nao.Pole sana
Una familia?mke watoto?
Usikate tamaa mzee wangu mapambano yanaendelea ipo siku utasimama (ila sijajua siku gani)You will see it! Very Soon. THIS IS SERIOUS!
Siku zangu zinahesabika, naziona kabisa live. Labda Mungu aingilie Kati na atende muujiza.
Sawa NduguUsikate tamaa mzee wangu mapambano yanaendelea ipo siku utasimama (ila sijajua siku gani)
AminaPole brother, usikate tamaa ninaamini Mungu atakusaidia utavuka hayo majaribu.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Sio kweliMzee kipusa una akili nyingi mpaka unaelekea kudata