Historia ya Mzee Kipusa

Historia ya Mzee Kipusa

Ulipata msaada wowote wa mawazo nisaidie
Sawa. But kwà upande wangu ... My mind is ready. Siogopi tena kufa.

Sometimes namuomba Mungu asiniamshe tena...nilale jumla.

Au sometimes nikiwa ndani ya bus nakua naomba bus lianguke ...na liniue Mimi PEKE yangu ..wengine wote wasipate hata jeraha...nife Mimi tu. Lakini Mungu hajawahi nijibu hata hilo
 
Sawa. But kwà upande wangu ... My mind is ready. Siogopi tena kufa.

Sometimes namuomba Mungu asiniamshe tena...nilale jumla.

Au sometimes nikiwa ndani ya bus nakua naomba bus lianguke ...na liniue Mimi PEKE yangu ..wengine wote wasipate hata jeraha...nife Mimi tu. Lakini Mungu hajawahi nijibu hata hilo
natafuta mtu nikutane nae tulieeee weee mpaka basi
 
Mleta mada ujuaji na mdomo wako ndivyo vimekufikisha hapa.

Kwakuwa maisha yako umeyavuruga mwenyewe kwa kujitia ujuaji, basi ni muda sasa wa kujikubali mwenyewe na kufocus kwa kujibidiisha.
Umri wako umeenda why hutambui hilo?
Jipe utulivu wa akili, acha kuishi kwa ndoto na sio wote waliopo mtaani wamefanikiwa kupitia elimu.
Blah blah zimekuwa nyingi sana na haiendani na umri wako.
Jitambue. Hapo upo kwenye hatua ya kufail vyote kwa pamoja. Umeshindwa kuwa na msimamo wala huna utulivu. Umefail hata kujenga family katika umri wako simply coz hujajipa utulivu wa akili thats why hata wanawake tu unashindwa kudumu nao.
Huwezi kufanikiwa ikiwa utaendelea kutangatanga.

Kwa huo umri wako ww sio wa kulilia ajira na kutukuza vyeti.
Kuna mambo mengi sana ya kufanya huku mtaani na maisha yakasonga.

Tatizo lako ni kwamba huwezi kujishikilia mwenyewe ndo maana unaishia kuwa homeless na kuona as if dunia inakutenga.
Acha ujuaji mkuu. Dunia uwanja wa vita. Pambana mwenyewe utalialia mpaka lini?
Nashukuru kwà mawazo yako. Na kwà mtizamo wako.

Kama umeona....nimesema nimesoma seminary Ndugu yangu.... Kuandika yote haya haimaniishi kuwa ni mjuaji sana + nina mdomo sana.

Mimi ni mtu mkimya sana....na sina mazoea na watu hovyohovyo. Haya yamenifika hata wewe pia yanaweza kukufika.

Tatizo ni kwamba mtu kama hajafanikiwa siku zote huonekana mzembe. Lakini , kiukweli napambana sana tena kwà kutumia akili sana.

Na nimejaribu kufanya vitu vingi sana sana.
 
Mleta mada ujuaji na mdomo wako ndivyo vimekufikisha hapa.

Kwakuwa maisha yako umeyavuruga mwenyewe kwa kujitia ujuaji, basi ni muda sasa wa kujikubali mwenyewe na kufocus kwa kujibidiisha.
Umri wako umeenda why hutambui hilo?
Jipe utulivu wa akili, acha kuishi kwa ndoto na sio wote waliopo mtaani wamefanikiwa kupitia elimu.
Blah blah zimekuwa nyingi sana na haiendani na umri wako.
Jitambue. Hapo upo kwenye hatua ya kufail vyote kwa pamoja. Umeshindwa kuwa na msimamo wala huna utulivu. Umefail hata kujenga family katika umri wako simply coz hujajipa utulivu wa akili thats why hata wanawake tu unashindwa kudumu nao.
Huwezi kufanikiwa ikiwa utaendelea kutangatanga.

Kwa huo umri wako ww sio wa kulilia ajira na kutukuza vyeti.
Kuna mambo mengi sana ya kufanya huku mtaani na maisha yakasonga.

Tatizo lako ni kwamba huwezi kujishikilia mwenyewe ndo maana unaishia kuwa homeless na kuona as if dunia inakutenga.
Acha ujuaji mkuu. Dunia uwanja wa vita. Pambana mwenyewe utalialia mpaka lini?
Maneno Yako ni makali sana , na yamenipa nguvu zaidi ya kufanya ninachokifikiria.

Wanasema ..ukifa watu watakusahau fast
Lakini ukiishi...watu watakukumbuka.

So bora nipotee...kamaulivyosema...tayari nimeisha poteza step...my life is both useless + meaningless
 
Nashukuru kwà mawazo yako. Na kwà mtizamo wako.

Kama umeona....nimesema nimesoma seminary Ndugu yangu.... Kuandika yote haya haimaniishi kuwa ni mjuaji sana + nina mdomo sana.

Mimi ni mtu mkimya sana....na sina mazoea na watu hovyohovyo. Haya yamenifika hata wewe pia yanaweza kukufika.

Tatizo ni kwamba mtu kama hajafanikiwa siku zote huonekana mzembe. Lakini , kiukweli napambana sana tena kwà kutumia akili sana.

Na nimejaribu kufanya vitu vingi sana sana.
Ujuaji naomaanisha hapa sio mpaka ufanye vurugu. Na sio kila unachokiona na kusikia sio lazima ukiripoti au ufanyie ufukunyuku.

Binafsi sijafanikiwa lakini kamwe siruhusu kukata tamaa. Nina roho ya jiwe na sitarajii kuombea kifo. Kwenye maisha yangu kwakweli naomba kifo kinipitie mbali lau kidogo nitimize machache yanayo nikabiri.
Leo hii unajiombea kufa?! Ushawahi kujiuliza juu ya wanao? Umejidhatiti vipi kuwapambania wanao unataka warithi FAILUREs zako? hebu jipe muda utafakali
 
Ujuaji naomaanisha hapa sio mpaka ufanye vurugu. Na sio kila unachokiona na kusikia sio lazima ukiripoti au ufanyie ufukunyuku.

Binafsi sijafanikiwa lakini kamwe siruhusu kukata tamaa. Nina roho ya jiwe na sitarajii kuombea kifo. Kwenye maisha yangu kwakweli naomba kifo kinipitie mbali lau kidogo nitimize machache yanayo nikabiri.
Leo hii unajiombea kufa?! Ushawahi kujiuliza juu ya wanao? Umejidhatiti vipi kuwapambania wanao unataka warithi FAILUREs zako? hebu jipe muda utafakali
My friend... Napenda sana watoto wangu na wote kwà ujumla hata wasiokua wangu.

KILA nikiwafikiria...nakua stressed sana sana. Lakini nitafanyaje....je niendelee kutoil..huku nikijipa moyo kuwa NITATOBOA...wakati kibinadamu tayari nimeyakanyaga?...

Hapa ni kama na bet utokee muujiza....
Lakini nshafail Mimi Blaza...sina namna
 
My friend... Napenda sana watoto wangu na wote kwà ujumla hata wasiokua wangu.

KILA nikiwafikiria...nakua stressed sana sana. Lakini nitafanyaje....je niendelee kutoil..huku nikijipa moyo kuwa NITATOBOA...wakati kibinadamu tayari nimeyakanyaga?...

Hapa ni kama na bet utokee muujiza....
Lakini nshafail Mimi Blaza...sina namna
Lakini kwanini unakuwa mwepesi wa kutamka kwamba USHAFELI?!!

Huo ni udhaifu mkuu. Hupaswi kuruhusu hatua kama hiyo iujaze moyo wako.
Kwa mwanaumme NIMARUFUKU KUKATA TAMAA.
Ukitaka ujinasue kwenye hiyo situation na stage ulofikia, don't u ever dare to compare with somebody else. Futa kumbukumbu za mapito yako. Jichukulie kama hujahangaika na masuala ya kusaka elimu wala ajira.
Hama mahala/mkoa ulipo. Kama upo Dar ondoka. Nenda morogoro wilayani. Kuna sehemu kama Turiani ama Ifakara hutakosa cha kufanya kama ww ni mpambanaji kama unavyojinasibisha hapa.
 
Maneno Yako ni makali sana , na yamenipa nguvu zaidi ya kufanya ninachokifikiria.

Wanasema ..ukifa watu watakusahau fast
Lakini ukiishi...watu watakukumbuka.

So bora nipotee...kamaulivyosema...tayari nimeisha poteza step...my life is both useless + meaningless
Achana nae mkuu,acha kujiongezea stress nyingine kila mtu na mtazamo wake

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Achana nae mkuu,acha kujiongezea stress

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
So unaunga juhudi za yeye kukata tamaa?!

Huyu jamaa anang'ang'ana na formal life.
Analazimisha mfumo wa maisha ya ajira wakati hatua hiyo aliifikia na akaiishi na IKAMTEMA!
SASA YANINI UKOMAE NA FORMULA ILIYOGOMA? SIKU ZINAENDA, MAISHA YANAMCHAPA UMRI NAO UNASOGEA NA NGUVU ZINAPUNGUA KIMWILI NA KIROHO YOU WILL EVENTUALLY STRESS YOURSELF.

UNA 40 YRS+ BADO UNAZUNGUKA NA BAHASHA KUOMBA AJIRA?!!
THATS WHY NAKAZIA KWAMBA AJIKUBALI AFUTE MENTALITY KWAMBA THERE IS SMBODY HAS JUST IMPORSED A CURSE UPON HIM TO MAKE HIS LIFE TOO MISARABLE.

KWENYE MAISHA KILA KITU KINA HATUA NA HU EXPIRE KADRI UNAVYO DELAY.
KUFUKUZIA AJIRA MEANS KUJIANDAA KUTENGENEZA FUTURE LIFE KUPITIA MAARIFA ULIYOGAIN SHULE (WHILE OTHER WAYS REMAIN CONSTANT)
HATUA HIYO KISHAVUKA PATUPU.
SASA ATUMIE OTHERWAYS TO RESCURE THE SITUATION NA WANAE.
 
So unaunga juhudi za yeye kukata tamaa?!

Huyu jamaa anang'ang'ana na formal life.
Analazimisha mfumo wa maisha ya ajira wakati hatua hiyo aliifikia na akaiishi na IKAMTEMA!
SASA YANINI UKOMAE NA FORMULA ILIYOGOMA? SIKU ZINAENDA, MAISHA YANAMCHAPA UMRI NAO UNASOGEA NA NGUVU ZINAPUNGUA KIMWILI NA KIROHO YOU WILL EVENTUALLY STRESS YOURSELF.

UNA 40 YRS+ BADO UNAZUNGUKA NA BAHASHA KUOMBA AJIRA?!!
THATS WHY NAKAZIA KWAMBA AJIKUBALI AFUTE MENTALITY KWAMBA THERE IS SMBODY HAS JUST IMPORSED A CURSE UPON HIM TO MAKE HIS LIFE TOO MISARABLE.

KWENYE MAISHA KILA KITU KINA HATUA NA HU EXPIRE KADRI UNAVYO DELAY.
KUFUKUZIA AJIRA MEANS KUJIANDAA KUTENGENEZA FUTURE LIFE KUPITIA MAARIFA ULIYOGAIN SHULE (WHILE OTHER WAYS REMAIN CONSTANT)
HATUA HIYO KISHAVUKA PATUPU.
SASA ATUMIE OTHERWAYS TO RESCURE THE SITUATION NA WANAE.
Ni kweli Ndugu. Nakubaliana nawe sana sana.
 
Ni kweli Ndugu. Nakubaliana nawe sana sana.
Mkuu mimi ninayo mengi yaliyonisibu na kupitia. Sina haja ya kuya expose hapa.
Ni muda wa wewe kujikubali na kuamka na ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya.
Futa yote uliyopitia. Mi mwenzio mwaka wa kumi na moja huu tangu niamue kuchoma moto vyeti vyangu.
Niliingia mtaani na akili za kishule na perseption za kisomi nikaishia kupuyanga mtaa unirudisha darasani tena!!
Nimeoa nafamilia. Kilicho niokoa napenda kujiwekezea na sio mwepesi wa ku throw away nachomiriki kwa maana ya kukimbilia kujinasua na changamoto.
Siku zote mtaa huwa hauruhusu watu wepesi wa kukata tamaa.
Usiruhusu mtu akujue sana, usifuatilie sana mambo ya mtu. Jenga mahusiano yenye mipaka na jamii inayokuzunguka.
Hama mazingira uliyopo make huwezi kuanza upya ukiwa hapo watakunyanyapaa na hutakuwa na amani na kile unachoenda kufanya na hakitapata maximum support.
......

Tutachekiana baadae nipo kwenye mihanjo time hii.
 
Mkuu mimi ninayo mengi yaliyonisibu na kupitia. Sina haja ya kuya expose hapa.
Ni muda wa wewe kujikubali na kuamka na ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya.
Futa yote uliyopitia. Mi mwenzio mwaka wa kumi na moja huu tangu niamue kuchoma moto vyeti vyangu.
Niliingia mtaani na akili za kishule na perseption za kisomi nikaishia kupuyanga mtaa unirudisha darasani tena!!
Nimeoa nafamilia. Kilicho niokoa napenda kujiwekezea na sio mwepesi wa ku throw away nachomiriki kwa maana ya kukimbilia kujinasua na changamoto.
Siku zote mtaa huwa hauruhusu watu wepesi wa kukata tamaa.
Usiruhusu mtu akujue sana, usifuatilie sana mambo ya mtu. Jenga mahusiano yenye mipaka na jamii inayokuzunguka.
Hama mazingira uliyopo make huwezi kuanza upya ukiwa hapo watakunyanyapaa na hutakuwa na amani na kile unachoenda kufanya na hakitapata maximum support.
......

Tutachekiana baadae nipo kwenye mihanjo time hii.
Ndugu yangu....ushauri wako ni mzuri sana sana. Naukubali...unaongea kama mwanajeshi...lakini kuna baadhi ya maneno yako , nikiyasoma between the lines ...ni kama I am useless...sifai hata kuishi. I mean like..yananipa akili kama ya Chief Mkwawa..." Je niendelee kupambana mpaka maadui wanikamate, au nijimalize wanikute sipo hai? " ...Shortly, kila nikipiga mahesabu...naona "HAMNA KITU" ...Hii vita ni kali sana....ni zaidi ya vita ya kiuchumi.

Nakushauri, ukikutana na watu dizain kama yangu...usiharakishe kuwa shauri kwà kutumia HARD TRUTH , it will easily kill them.

Kwasababu huyo mtu anakua na machungu makubwa sana ndani yake...na ukimpa ukweli wenye uchungu...hiyo chemical reaction ...ita blow mind yake naku explode mwili wake .....hatakua mzima tena.

Hapa najikaza tu...lakini ...daah your words...
 
Back
Top Bottom