Mrigariga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,761
- 1,634
Sijaona jina la Balozi. Sijaona jina la Ruge Mutahaba sijaona jina la Bonny Luv wa Mawingu Studio. Sijaona jina la Marlon Linje
Mleta uzi naona aidha kwa bahati mbaya au makusudi umeamua kuwa puuza hawa niliowataja makusudi kwa sababu zako. Lakini mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeeni. Hata Dully Sykes hayumo?! Umesahahu nyimbo zake za Nyambizi Salome,Handsome etc?!!!
Mleta uzi naona aidha kwa bahati mbaya au makusudi umeamua kuwa puuza hawa niliowataja makusudi kwa sababu zako. Lakini mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeeni. Hata Dully Sykes hayumo?! Umesahahu nyimbo zake za Nyambizi Salome,Handsome etc?!!!