Historia ya BITCOIN: Uliza chochote nitajitahidi kukujibu

Download hii app (BITKOIN.IO) kwenye simu yako, hii itakusaidia kujua mabadiliko yanayotokea
Kwahiyo mkuu mathalani nimenunua Bitcioin za laki 1 kwa tigo pesa,ili nipate faida nafanyaje?Na je naweza itoa pesa yangu ikawa cash?
 
Wakuu,

Katika pita pita zangu nikakutana na hii kitu inayoitwa BITCOIN. Kwamba unaweka hela afu kila siku unakuwa unapata angalau asilimia kumi ya hela uloweka. Kabla ya kuweka hela yangu naomba kwa mwenye kujua anijibu maswali haya:
1. Haina chembechembe zozote za utapeli?
2. Ukishaweka hela yako inaanza kuzaa baada ya mda gani?
3. Unaruhusiwa kutoa kila siku hela inayoingia kama faida?
 
Huo ni utapeli hiyo sio BITCOIN wanatumia vibaya jina kuwaibia watu.

Bitcoin ni aina ya currency/fedha zinazojulikana kama cryptocurrency hizi fedha zipo designed kutumia sayansi na hesabu za cryptography kuzitengeneza na kulinda mfumuko wake.
 
Huo ni utapeli hiyo sio BITCOIN wanatumia vibaya jina kuwaibia watu.

Bitcoin ni aina ya currency/fedha zinazojulikana kama cryptocurrency hizi fedha zipo designed kutumia sayansi na hesabu za cryptography kuzitengeneza na kulinda mfumuko wake.
Mkuu, ahsante. Ila naomba unijulishe kuwa huo utapeli unafanyikaje maana kuna watu wananiambia wanaishi kwa hiyo kitu.
 
Bitcoin siyo utapeli bali ni fedha halali inayotumika ktk intanet tu, tatizo lake ni high fluctuation rates kwa sasa bitcoin moja ni tsh 1.6m lakini inaweza kupanda au kushuka ghafla ndani ya dakika moja.
 
Kama unafahamu kiingereza nikutumie kitabu soft copy cha Bitcoin For Dummies, kinaelezea kila kitu na hutasita kununua bitcoin, unaweza kupokea bitcoin zako had I kwenye mpesa.....hahahahaha woga wako ndio adui yako.
 
Kama unafahamu kiingereza nikutumie kitabu soft copy cha Bitcoin For Dummies, kinaelezea kila kitu na hutasita kununua bitcoin, unaweza kupokea bitcoin zako had I kwenye mpesa.....hahahahaha woga wako ndio adui yako.
Fanya hivyo mkuu. Nitatumia hata dictionary
 
CRYPTO-CURRENCY TANZANIA BITCOIN(BTC)

Bitcoin Ni nini.

Bitcoin ni fedha kama zilivyo fedha nyingine kama USD, TSH, KES nk. Hivyo unaweza kutumia Bitcoin kufanya miamala ya kifedha duniani kote kwa gharama nafuu.

Tofauti ya Bitcoin na fedha nyingine za kawaida nikwamba Bitcoin ni kidigitali(Digital Currency/Cryptocurrency).

Tukisema Bitcoin ni Digital Currency tunamaanisha kuwa fedha hii inaonekana kwenye namba tu, na hiyo namba ndio inabeba thamani yake. Mfano ukiwa na salio Tigopesa au M-Pesa ile ni namba tu inayobeba thamani ya pesa..
Kwasasa thamani ya Bitcoin 1 ni sawa na fedha ya Kitanzania 2,500,000TZS.

Kwanini Bitcoin ina thamani kubwa na ni fedha ya kipekee?

Bitcoin hupanda thamani na kuwa ya kipekee kutokana na sifa zifuatazo;

- Fedha hii halimilikiwi na serikali yoyote duniani hivyo huifanya isiathirike na mtikiso wa uchumi duniani.

-Ukitumia fedha hii unajihakikishia uhuru wa faragha kwamaana hakuna mtu yoyote atakayeweza kudukua miamala yako yakifedha sababu kila muamala utakaoufanya unakua na address mpya hivyo inaweka ugumu kufatilia fedha imetoka kwanani na inaenda wapi.

-Gharama ndogo sana za kufanya miamala kwenda sehem yoyote duniani huifanya pesa hii kuwa adimu sana.

-Huwezi kughushi fedha hii, haiwezekani kwa mtu yoyote kutengeneza fedha hii isipokua kwa utaratibu maalum(bitcoin mining).

Haya yote yamewezekana kwa kugulindulika kwa technology mpya duniani iitwayo blockchain technology (digital ledger) daftari la kumbukumbu la kidigitali linalohifadhi miamala (transactions) na kutunza kumbukumbu automatically bila uhitaji mtu wa kati(middle man) .
 
Yes.


CRYPTO-CURRENCY TANZANIA BITCOIN(BTC)

Bitcoin Ni nini.

Bitcoin ni fedha kama zilivyo fedha nyingine kama USD, TSH, KES nk. Hivyo unaweza kutumia Bitcoin kufanya miamala ya kifedha duniani kote kwa gharama nafuu.

Tofauti ya Bitcoin na fedha nyingine za kawaida nikwamba Bitcoin ni kidigitali(Digital Currency/Cryptocurrency).

Tukisema Bitcoin ni Digital Currency tunamaanisha kuwa fedha hii inaonekana kwenye namba tu, na hiyo namba ndio inabeba thamani yake. Mfano ukiwa na salio Tigopesa au M-Pesa ile ni namba tu inayobeba thamani ya pesa..
Kwasasa thamani ya Bitcoin 1 ni sawa na fedha ya Kitanzania 2,500,000TZS.

Kwanini Bitcoin ina thamani kubwa na ni fedha ya kipekee?

Bitcoin hupanda thamani na kuwa ya kipekee kutokana na sifa zifuatazo;

- Fedha hii halimilikiwi na serikali yoyote duniani hivyo huifanya isiathirike na mtikiso wa uchumi duniani.

-Ukitumia fedha hii unajihakikishia uhuru wa faragha kwamaana hakuna mtu yoyote atakayeweza kudukua miamala yako yakifedha sababu kila muamala utakaoufanya unakua na address mpya hivyo inaweka ugumu kufatilia fedha imetoka kwanani na inaenda wapi.

-Gharama ndogo sana za kufanya miamala kwenda sehem yoyote duniani huifanya pesa hii kuwa adimu sana.

-Huwezi kughushi fedha hii, haiwezekani kwa mtu yoyote kutengeneza fedha hii isipokua kwa utaratibu maalum(bitcoin mining).

Haya yote yamewezekana kwa kugulindulika kwa technology mpya duniani iitwayo blockchain technology (digital ledger) daftari la kumbukumbu la kidigitali linalohifadhi miamala (transactions) na kutunza kumbukumbu automatically bila uhitaji mtu wa kati(middle man) .
 
CRYPTO-CURRENCY TANZANIA BITCOIN(BTC)

Bitcoin Ni nini.

Bitcoin ni fedha kama zilivyo fedha nyingine kama USD, TSH, KES nk. Hivyo unaweza kutumia Bitcoin kufanya miamala ya kifedha duniani kote kwa gharama nafuu.

Tofauti ya Bitcoin na fedha nyingine za kawaida nikwamba Bitcoin ni kidigitali(Digital Currency/Cryptocurrency).

Tukisema Bitcoin ni Digital Currency tunamaanisha kuwa fedha hii inaonekana kwenye namba tu, na hiyo namba ndio inabeba thamani yake. Mfano ukiwa na salio Tigopesa au M-Pesa ile ni namba tu inayobeba thamani ya pesa..
Kwasasa thamani ya Bitcoin 1 ni sawa na fedha ya Kitanzania 2,500,000TZS.

Kwanini Bitcoin ina thamani kubwa na ni fedha ya kipekee?

Bitcoin hupanda thamani na kuwa ya kipekee kutokana na sifa zifuatazo;

- Fedha hii halimilikiwi na serikali yoyote duniani hivyo huifanya isiathirike na mtikiso wa uchumi duniani.

-Ukitumia fedha hii unajihakikishia uhuru wa faragha kwamaana hakuna mtu yoyote atakayeweza kudukua miamala yako yakifedha sababu kila muamala utakaoufanya unakua na address mpya hivyo inaweka ugumu kufatilia fedha imetoka kwanani na inaenda wapi.

-Gharama ndogo sana za kufanya miamala kwenda sehem yoyote duniani huifanya pesa hii kuwa adimu sana.

-Huwezi kughushi fedha hii, haiwezekani kwa mtu yoyote kutengeneza fedha hii isipokua kwa utaratibu maalum(bitcoin mining).

Haya yote yamewezekana kwa kugulindulika kwa technology mpya duniani iitwayo blockchain technology (digital ledger) daftari la kumbukumbu la kidigitali linalohifadhi miamala (transactions) na kutunza kumbukumbu automatically bila uhitaji mtu wa kati(middle man) .
 
Kama unafahamu kiingereza nikutumie kitabu soft copy cha Bitcoin For Dummies, kinaelezea kila kitu na hutasita kununua bitcoin, unaweza kupokea bitcoin zako had I kwenye mpesa.....hahahahaha woga wako ndio adui yako.
Hebu ntumie mkuu npitie
 
CRYPTO-CURRENCY TANZANIA BITCOIN(BTC)

Bitcoin Ni nini.

Bitcoin ni fedha kama zilivyo fedha nyingine kama USD, TSH, KES nk. Hivyo unaweza kutumia Bitcoin kufanya miamala ya kifedha duniani kote kwa gharama nafuu.

Tofauti ya Bitcoin na fedha nyingine za kawaida nikwamba Bitcoin ni kidigitali(Digital Currency/Cryptocurrency).

Tukisema Bitcoin ni Digital Currency tunamaanisha kuwa fedha hii inaonekana kwenye namba tu, na hiyo namba ndio inabeba thamani yake. Mfano ukiwa na salio Tigopesa au M-Pesa ile ni namba tu inayobeba thamani ya pesa..
Kwasasa thamani ya Bitcoin 1 ni sawa na fedha ya Kitanzania 2,500,000TZS.

Kwanini Bitcoin ina thamani kubwa na ni fedha ya kipekee?

Bitcoin hupanda thamani na kuwa ya kipekee kutokana na sifa zifuatazo;

- Fedha hii halimilikiwi na serikali yoyote duniani hivyo huifanya isiathirike na mtikiso wa uchumi duniani.

-Ukitumia fedha hii unajihakikishia uhuru wa faragha kwamaana hakuna mtu yoyote atakayeweza kudukua miamala yako yakifedha sababu kila muamala utakaoufanya unakua na address mpya hivyo inaweka ugumu kufatilia fedha imetoka kwanani na inaenda wapi.

-Gharama ndogo sana za kufanya miamala kwenda sehem yoyote duniani huifanya pesa hii kuwa adimu sana.

-Huwezi kughushi fedha hii, haiwezekani kwa mtu yoyote kutengeneza fedha hii isipokua kwa utaratibu maalum(bitcoin mining).

Haya yote yamewezekana kwa kugulindulika kwa technology mpya duniani iitwayo blockchain technology (digital ledger) daftari la kumbukumbu la kidigitali linalohifadhi miamala (transactions) na kutunza kumbukumbu automatically bila uhitaji mtu wa kati(middle man) .
Sasa tunaanzaje ili kuweza kumiliki hii pesa
 
Habari zenu ndugu zangu wa Jamiiforums. Wengi wetu tunaifahamu fulsa ya BITCOIN ila mimi leo nawaambia MSIWEKEZE KWENYE SARAFU YA BITCOIN PEKEE YAKE UTACHELEWA KUPATA MAFANIKIO

Mwanzilishi wa Bitcoins Satoshi Nakamoto mwaka 2009 aliwafumbua macho watu wote duniani kwa kuanzisha Sarafu ya Bitcoin!!

Teknolojia ya Bitcoins imeendelea kutumika sana kutengeneza Sarafu nyingine zaidi duniani zenye mfumo wa Bitcoins protocol!!

Sarafu ya Bitcoin sasa hivi iko juu sana kwa bei! Hali hii inawakatisha tamaa wawekezaji wenye mitaji kidogo kukosa utajiri mkubwa sana uliopo kwenye Sarafu za kidigitali zipatazo 600 sasa hivi duniani kote!!

Naomba nitambulishe kwako Sarafu mpya iitwayo Adscash ambayo ni salama kabisa kuwekeza kwenye Sarafu hiyo mapema kabla ya UZINDUZI wa Sarafu hiyo mwezi huu wa Machi 2017.

Hii ni Sarafu itakuwa inatumika kwenye matangazo ya kimataifa kama ilivyo Facebook, Twitter YouTube Instagram WhatsApp Bitcoinadspay, nk.

Faida itakayokuwa inapatikana kwenye international business advertisements ndizo watakuwa wanapata gawio lake wanachama wa kampuni hii!!

Adscash ikishazinduliwa itakuwa sokoni na coin zake zitakuwa zinakufikia wewe mwekezaji kwa kutumia mfumo wa blockchain ya Sarafu ya Ethereum!!

Wanachama wa kampuni hii watakuwa na Uhuru (flexibility) wa kubadili hizo coin kwenye Dollars au Bitcoins wakati wa kufanya Deposit au Withdrawal of their money!!

Kampuni hii itazinduliwa rasmi tarehe 25/03/2017 duniani kote!!

Hadi sasa hivi zaidi ya watu 155,000 wamejiunga tangu usajili rasmi uanze February mwanzoni!

Ukijiunga unapewa Adscash coins 100 za Bure ikiwa ni coin za promotion kabla ya UZINDUZI wa Sarafu hii ya Adscash!

Kumbuka kuwa Adscash Ni Sarafu mpya hivyo bado ina bei ya chini kwa sasa hivi!! Hivyo unaweza Kupata coin nyingi sana kwa bei ndogo!!

Adscash coins zinatarajia kupanda sana hadi kufikia $10 miezi michache baada ya kuwekwa sokoni (public coin).

Hivyo ukiwa na coin 100 utakazozipata Bure kabisa kwa kujiunga sasa hivi ni sawa na Dolla 1000 sawa na Tshs 2,300,000 au shs 3m kwa miezi mitatu hadi 12 ijayo baada ya kuwepo sokoni!

Hii siyo fursa ya kukosa aiseeeee

Sasa naomba nisikuchoshe kwa maneno mengi tumia link hiyo ujisajili twende pamoja tujifunze kutengeneza fedha.
AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.
 
CRYPTO-CURRENCY TANZANIA BITCOIN(BTC)

Bitcoin Ni nini.

Bitcoin ni fedha kama zilivyo fedha nyingine kama USD, TSH, KES nk. Hivyo unaweza kutumia Bitcoin kufanya miamala ya kifedha duniani kote kwa gharama nafuu.

Tofauti ya Bitcoin na fedha nyingine za kawaida nikwamba Bitcoin ni kidigitali(Digital Currency/Cryptocurrency).

Tukisema Bitcoin ni Digital Currency tunamaanisha kuwa fedha hii inaonekana kwenye namba tu, na hiyo namba ndio inabeba thamani yake. Mfano ukiwa na salio Tigopesa au M-Pesa ile ni namba tu inayobeba thamani ya pesa..
Kwasasa thamani ya Bitcoin 1 ni sawa na fedha ya Kitanzania 2,500,000TZS.

Kwanini Bitcoin ina thamani kubwa na ni fedha ya kipekee?

Bitcoin hupanda thamani na kuwa ya kipekee kutokana na sifa zifuatazo;

- Fedha hii halimilikiwi na serikali yoyote duniani hivyo huifanya isiathirike na mtikiso wa uchumi duniani.

-Ukitumia fedha hii unajihakikishia uhuru wa faragha kwamaana hakuna mtu yoyote atakayeweza kudukua miamala yako yakifedha sababu kila muamala utakaoufanya unakua na address mpya hivyo inaweka ugumu kufatilia fedha imetoka kwanani na inaenda wapi.

-Gharama ndogo sana za kufanya miamala kwenda sehem yoyote duniani huifanya pesa hii kuwa adimu sana.

-Huwezi kughushi fedha hii, haiwezekani kwa mtu yoyote kutengeneza fedha hii isipokua kwa utaratibu maalum(bitcoin mining).

Haya yote yamewezekana kwa kugulindulika kwa technology mpya duniani iitwayo blockchain technology (digital ledger) daftari la kumbukumbu la kidigitali linalohifadhi miamala (transactions) na kutunza kumbukumbu automatically bila uhitaji mtu wa kati(middle man) .
Wew Ni mwanachama WA cryptobtx???
 
Back
Top Bottom