Tulishayafehemu haya
wacha waendelee na madudu maana naamini kashfa walizozifanya hazikuwatosha na sasa wanajiandaa na big fall.
Mungu awarehemu
Anguko lao limekaribia sana,six atameguka na kundi lake na kumpigia kura marando/upinzani
Tulishayafehemu haya
wacha waendelee na madudu maana naamini kashfa walizozifanya hazikuwatosha na sasa wanajiandaa na big fall.
Mungu awarehemu
Wewe mwongo kwenye CC wajumbe wako 30 tu wewe hao 250 umewato awapi?
Shame on you!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
At least wabunge wa CCM wamepiga kura kumchagua. Nyie mnapelekana kibabe, wenye chama wamesema Marando, wote mnakubali. Hakuna demokrasia na viongozi wanachaguana bila kufuata misingi yoyote.
Chama chenu ni cha kizushi, kinaendeshwa kibabe.
Sasa bunge limempta mwenyewe, huyu mama atafanya kazi nzuri sana kuliko huyo 6 wenu, binafsi namwaminia sana. Nyie subirini tu
Bora hata cha mwenda wazimu, yaani hicho ni kichwa cha teja!!te he te he. . . .
C C M kweli vilaza..ndio maana nchi hii ipo nyuma kimaendeleo
SERIKALI N KCHWA CHA MWENDAWAZMU
Huyu mama mi simuamini maana enzi ya unaibu alionekana kama anabase upandu mmoja
pili uwezo wake hauwezi kulinganisha na Marando hata chembe
Ninaamini ndani ya wabunge wa sisiem wanaliona hili sidhani
kama watakuwa radhi kulipeleka taifa hili mrama
Japokuwa wengi wenu mmechakachua kupata nafasi hizo lakini
kwa hili kuweni wazalendo wala mfute mabaya yote ya uchaguzi maana laana ya watanzania mil. 50
itawaangukia na mtapigwa na gharika!!
Not yet Uhuru...