Shadida Salum
Journalist at JamiiForums
- Sep 11, 2020
- 69
- 104
Mwezi feb 1932 katika eneo la milan italia alizaliwa Casare Maldini, career yake ilikua ni kusakata kabumbu ambapo alicheza nafasi ya ulinzi .
Mwaka 1954- 1966 alichezea club ya AC Milan akicheza michezo 347. Mnamo mwaka 1967 alitundika daruga. .
Mwaka mmoja baadae hii ilikua ni 1968 akazaliwa kijana Paolo Cesare Maldini , mtoto wa cesare maldini ambapo naye alikuwa mcheza soka naye aliichezea AC Milan akicheza kama beki wa kushoto au mlinzi wa kati alitundika daruga rasmi mwaka 2009.
Paolo maldini anashika record ya mchezaji mwenye appearance nyingi kwa timu ya Milan akiwa na appearance 902, Maldini anatajwa kuwa miongoni mwa walinzi bora kupata kutokea.
Daniel Maldini ni mtoto wa Paolo Maldini alizaliwa mwaka 2001 naye ni mcheza soka akichezea klabu ya AC Milan pia.
Mwaka 1954- 1966 alichezea club ya AC Milan akicheza michezo 347. Mnamo mwaka 1967 alitundika daruga. .
Mwaka mmoja baadae hii ilikua ni 1968 akazaliwa kijana Paolo Cesare Maldini , mtoto wa cesare maldini ambapo naye alikuwa mcheza soka naye aliichezea AC Milan akicheza kama beki wa kushoto au mlinzi wa kati alitundika daruga rasmi mwaka 2009.
Paolo maldini anashika record ya mchezaji mwenye appearance nyingi kwa timu ya Milan akiwa na appearance 902, Maldini anatajwa kuwa miongoni mwa walinzi bora kupata kutokea.
Daniel Maldini ni mtoto wa Paolo Maldini alizaliwa mwaka 2001 naye ni mcheza soka akichezea klabu ya AC Milan pia.