Bilionea kid
JF-Expert Member
- Oct 19, 2018
- 581
- 516
Hello wanaJF Leo nimekuja na historia fupi ya mwanadada
rihanna
Rihanna Robyn Fenty (amezaliwa tar. 20 Februari 1988) ni msanii wa uimbaji wa muziki wa R&B na pop kutoka nchini Barbados. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Rihanna. Alizaliwa mjini Saint Michael, Barbados, na kisha baadaye akaelekea zake nchini Marekani akiwa na umri wa miaka 16 ili kujiendeleza zaidi katika shughuli zake za kirekodi akiwa chini ya uongozi wa mtayarishaji wa rekodi Bw. Evan Rogers.
Rihanna
Rihanna, LOUD Tour, Minneapolis 6 crop.jpg
Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa
Robyn Rihanna Fenty
Amezaliwa
20 Februari 1988 (umri 30)
Asili yake
Saint Michael, Barbados
Aina ya muziki
R&B, reggae
Kazi yake
Mwimbaji, Mwanamitindo
Miaka ya kazi
2005–hadi leo
Studio
Def Jam Recordings
Tovuti
www.rihannanow.com
Baadaye akaja kuingia mkataba na studio ya Def Jam Recordings baada ya kusailiwa na kiongozi wa studio hiyo Bw. Jay-Z.[1]
Da'Vinci Mshana Jr ledada
rihanna
Rihanna Robyn Fenty (amezaliwa tar. 20 Februari 1988) ni msanii wa uimbaji wa muziki wa R&B na pop kutoka nchini Barbados. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Rihanna. Alizaliwa mjini Saint Michael, Barbados, na kisha baadaye akaelekea zake nchini Marekani akiwa na umri wa miaka 16 ili kujiendeleza zaidi katika shughuli zake za kirekodi akiwa chini ya uongozi wa mtayarishaji wa rekodi Bw. Evan Rogers.
Rihanna
Rihanna, LOUD Tour, Minneapolis 6 crop.jpg
Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa
Robyn Rihanna Fenty
Amezaliwa
20 Februari 1988 (umri 30)
Asili yake
Saint Michael, Barbados
Aina ya muziki
R&B, reggae
Kazi yake
Mwimbaji, Mwanamitindo
Miaka ya kazi
2005–hadi leo
Studio
Def Jam Recordings
Tovuti
www.rihannanow.com
Baadaye akaja kuingia mkataba na studio ya Def Jam Recordings baada ya kusailiwa na kiongozi wa studio hiyo Bw. Jay-Z.[1]
Da'Vinci Mshana Jr ledada