Historia fupi ya marehemu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,537
Reaction score
860,576
Hapa ni baada ya kutua nchini
Hapa anagawa dozi
Hapa kuna kipindi alikimbiwa na wote
Kuna nyakati inasemekana alikuwa ngangaripoa
Ila pia kila mbabe hakosi mbabe wake [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Vingine vilishangaza na kutatiza wengi
uzao wake wa kwanza
uzao wake wa Mwisho

Mwisho wa enzi! RIP
 


Marehemu alikuwa anagawa dozi c mchezo. RIP
 
Kumbe alikuwa memba wa CHAWAPUTA bana sema hakushtuka kama kuna ya nzi wala ya kamba ikabidi apige tu ya jiwe, mbaya zaid baada ya kuendekeza hiyo tabia akajikuta jongoo wake kupanda mtungi ni mpaka apate buster na akaamua rasmi kujiita 'John delicious' dah! R.I.P[emoji22] [emoji22]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…