Historia fupi ya marehemu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,294
Reaction score
832,367
Hapa ni baada ya kutua nchini
Hapa anagawa dozi
Hapa kuna kipindi alikimbiwa na wote
Kuna nyakati inasemekana alikuwa ngangaripoa
Ila pia kila mbabe hakosi mbabe wake

Vingine vilishangaza na kutatiza wengi
uzao wake wa kwanza
uzao wake wa Mwisho

Mwisho wa enzi! RIP
 


Marehemu alikuwa anagawa dozi c mchezo. RIP
 
Kumbe alikuwa memba wa CHAWAPUTA bana sema hakushtuka kama kuna ya nzi wala ya kamba ikabidi apige tu ya jiwe, mbaya zaid baada ya kuendekeza hiyo tabia akajikuta jongoo wake kupanda mtungi ni mpaka apate buster na akaamua rasmi kujiita 'John delicious' dah! R.I.P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…