Historia fupi Sana kuhusu kuanzishwa kwa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
JamiiForums ni tovuti ya mtandao wa kijamii iliyoko nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 2006.

Na Mwanzilishi wake Maxence Melo Mtandao huo ni jukwaa maarufu mtandaoni.

Ukurasa wa kwanza wa JamboForum kabla ya kubadilika kuwa JamiiForums

JamiiForums ilizinduliwa rasmi mnamo Machi 2006 kwa jina la JamboForums, na ilikuwa na vikao kadhaa mkondoni. Mnamo Mei 2008 walibadilisha jina na kuwa JamiiForums kutokana na masuala ya hakimiliki.

Mnamo Machi 2016, Jamii Media iliwasilisha kesi dhidi ya jeshi la polisi la Shirikisho la Tanzania, ikidai matumizi ya nguvu ya jeshi la polisi kutaka habari za binafsi za watu wanaoshukiwa kuhusika na uhalifu ni kinyume cha katiba. Kesi hiyo itashughulikiwa kupitia Mahakama Kuu ya Tanzania.

Hiyo ni kwaufupi Sana Kama nilivyo sema

SOMA hii interview na Maxence Melo: Exclusive Interview with JamiiForums' founder - Maxence Melo: The history and operations of the platform
 
Sasa mkuu kulikua na utofauti gani Kati ya Jambo forum na jamiiforum Kwa upande wa content au tofauti ni hiyo Tu ya dotikomu
 
sasa mkuu kulikua na utofauti gani Kati ya Jambo forum na jamiiforum Kwa upande wa content au tofauti ni hiyo Tu ya dotikomu
Kabla JamiiForums haijasajiliwa ilikua inatumia jamboforums hivyo kipindi hicho jambo lilikua ni Kama kampuni jingine lililo kuwa limesajiliwa na lilikua linamiliki Jambo TV.
Hivyo JamiiForums ililazimika kubadili jina kutoka Jambo forums nakua JamiiForums
 
Ninavyokumbuka, JamboForums (mtangulizi wa JamiiForums) ilikuja kujaza nafasi ya ombwe lililoachwa na nyenzi_dot_com; mahali ambako wahenga wa mtandaoni tulikuwa tukikutanika kwa midahalo motomoto...
Nadhani Ilikuwa inaitwa Bstimes kwa sababu huko ndipo nilipoanzia hii mijadala ya tanzania online. Kulikuwa na watu kama marehemu Simba, Mwapachu na wengine ambapo mijadala ya wakati ule ilikuwa ni ya kiutu uzima sana kabla ya uchaguzi wa 2005.
 
Nadhani Ilikuwa inaitwa Bstimes kwa sababu huko ndipo nilipoanzia hii mijadala ya tanzania online. Kulikuwa na watu kama marehemu Simba, Mwapachu na wengine ambapo mijadala ya wakati ule ilikuwa ni ya kiutu uzima sana kabla ya uchaguzi wa 2005.

Nyenzi_dot_com ndio ilikuwa kigoda cha wanazuoni miaka hiyo ya pambazuko la mtandao Tanzania. Ilipoondoka ghafla (sijui kwa nini), iliibuka mitandao minginemingine yenye majukwaa, ambapo hatimaye JamboForums ikapata momentum.
 
Nadhani Ilikuwa inaitwa Bstimes kwa sababu huko ndipo nilipoanzia hii mijadala ya tanzania online. Kulikuwa na watu kama marehemu Simba, Mwapachu na wengine ambapo mijadala ya wakati ule ilikuwa ni ya kiutu uzima sana kabla ya uchaguzi wa 2005.

Nilikuwepo Bstimes. Mijadala ilikuwa mizuri na ilinishawishi kuchukua economics and management japokuwepo ilikuwa sio fani yangu hili niweze kujenga hoja vizuri. Democratization ya internet kwa kutumia smartphones iliongeza idadi ya wachangiaji lakini kwa upande mwingine ilifanya mijadala ianze kupunguza nguvu kwani hata wenye upeo mdogo walipata nafasi.
 
JamiiForums ni tovuti ya mtandao wa kijamii iliyoko nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 2006.

Na Mwanzilishi wake Maxence Melo Mtandao huo ni jukwaa maarufu mtandaoni.

Ukurasa wa kwanza wa JamboForum kabla ya kubadilika kuwa JamiiForums

JamiiForums ilizinduliwa rasmi mnamo Machi 2006 kwa jina la JamboForums, na ilikuwa na vikao kadhaa mkondoni. Mnamo Mei 2008 walibadilisha jina na kuwa JamiiForums kutokana na masuala ya hakimiliki.

Mnamo Machi 2016, Jamii Media iliwasilisha kesi dhidi ya jeshi la polisi la Shirikisho la Tanzania, ikidai matumizi ya nguvu ya jeshi la polisi kutaka habari za binafsi za watu wanaoshukiwa kuhusika na uhalifu ni kinyume cha katiba. Kesi hiyo itashughulikiwa kupitia Mahakama Kuu ya Tanzania.

Hiyo ni kwaufupi Sana Kama nilivyo sema

SOMA hii interview na Maxence Melo: Exclusive Interview with JamiiForums' founder - Maxence Melo: The history and operations of the platform
Kwa nini unaandika kitu ambacho hujui? Angalau fanya research basi ndiyo uandike.
 
JamiiForums ni tovuti ya mtandao wa kijamii iliyoko nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 2006.

Na Mwanzilishi wake Maxence Melo Mtandao huo ni jukwaa maarufu mtandaoni.

Ukurasa wa kwanza wa JamboForum kabla ya kubadilika kuwa JamiiForums

JamiiForums ilizinduliwa rasmi mnamo Machi 2006 kwa jina la JamboForums, na ilikuwa na vikao kadhaa mkondoni. Mnamo Mei 2008 walibadilisha jina na kuwa JamiiForums kutokana na masuala ya hakimiliki.

Mnamo Machi 2016, Jamii Media iliwasilisha kesi dhidi ya jeshi la polisi la Shirikisho la Tanzania, ikidai matumizi ya nguvu ya jeshi la polisi kutaka habari za binafsi za watu wanaoshukiwa kuhusika na uhalifu ni kinyume cha katiba. Kesi hiyo itashughulikiwa kupitia Mahakama Kuu ya Tanzania.

Hiyo ni kwaufupi Sana Kama nilivyo sema

SOMA hii interview na Maxence Melo: Exclusive Interview with JamiiForums' founder - Maxence Melo: The history and operations of the platform
JamiiForums Mungu aipe maisha marefu
 
Umetaka kueleza historia ya mitandao nchini bahati mbaya huijui
Ukabase kwenye jamii forums nayo huijui
Ukaamua kueleza wamiliki pekee nao huwajui

Kiufupi umejitia ujuaji
 
Umetaka kueleza historia ya mitandao nchini bahati mbaya huijui
Ukabase kwenye jamii forums nayo huijui
Ukaamua kueleza wamiliki pekee nao huwajui

Kiufupi umejitia ujuaji
Hahahaha kwahyo ulitaka niandike hadi mwanzilishi wa JamiiForums ana wake wangapi.
Sema wewe hujui kusoma kichwa cha habari na kilicho andikwa kwenye habari ila pole sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom