Historia Fupi na Matibabu ya Askofu Thomas Laizer!!!!

ASKOFU MSAIDIZI

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
209
23
Alizaliwa Machi 10,1945 katika Kijiji Cha Ketumbeine Arumeru.
Alisoma Shule ya Msingi Long'indo na Kuhitimu darasa la Saba 1965.
Alijiunga na Shule ya Sekondary Arusha.
Baada ya Kuhitimu masomo ya Sekondary alijiunga na Masomo ya Theology Chuo Cha Makurumila na kuhitimu 1972.
Aliendelea na Masomo ya juu ktk Chuo Kikuu cha Warburg Marekani na kuhiyimu 1984.
January 4,1987 alisimikwa rasimi kuwa Askofu wa dayosisi ya Mkoa Arusha.


UGONJWA NA MATIBABU.
Miaka kumi iliyopita alianza kuhisi kuwa anatatizo la tezi upande wa kushoto na kufanyiwa matibabu ktk hospili mbalimbali .

Mwaka 2010 alizidiwa na kupelekwa SELIAN HOSPITAL ARUSHA NA BAADAYE KUKIMBIZWA NAIROBI KENYA ambapo alitibiwa na kushauriwa aende India kwa matibabu Zaidi.

Kabla ya kupelekwa India alikwenda Kwa Babu (Mch Ambilikile Mwasapila) Loliondo akiwa na Mhe Edward Lowasa na wote wakapata Kikombe na akashuhudia kuwa amepona!!!!!!!!!!!!!!!.Ushuhuda huu uliwavuta Mawaziri wengi sana akiwemo Steven Wasisra, Willium Lukuvi, Mangufuri....

Septemba 2012 alipelekwa India na kupatiwa matibabu ambapo walibaini kuwa tezi limesababisha saratani na alirejea nchini na kupelekwa serian Arusha ambapo ametibiwa hapo hadi kifo Chake!!!

Nimeleta hii taarifa baada ya kuona kuna watu wanaposha kwa kusema kuwa ugonjwa wa Askofu Laizer umewekwa Kampuni wakati unajulikana na upo katika orodha ya Magonjwa sugu yaliyotangazwa kupatiwa tiba na Kikombe Cha Babu!!!

Monday, April 04, 2011

MH NIMROD MKONO NA WAZIRI WASIRA WANYWA KIKOMBE CHA BABU LOLIONDO



Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu)Steven Wassira(kushoto) na Mbu






Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu ya CCM taifa wakihudhuria semina maalum iliyofunguliwa na kuongozwa na Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Leo tarehe 10/2/2013 tarkatika ukumbi wa White House,Makao makuu ya CCM mjini Dodoma.
Mhe Edward Lowassa anaonekana hana hatakaratasi moja wakati wenzake wote wana makaratasi yawezekana ana majonzi kutokana na kifo Cha Askof Laizer aliyemtegemea kisiasa kupita Urais 2015.


 
Mbona mnatutisha juu ya kikombe, mjue wenzenu tuliokunywa tulikuwa wengi! Shauri yenu na vitisho vyenu vya vifo, ooooh!
 
Hicho ni kifo kama vifo vingine, kwani babu ni mungu hata mtu akinywa kikombe asife?

Mbona mitume na manabii wamekufa?
 
Let me keep this clear.....kikombe cha babu hakikuwa GUARANTEE kwamba ukinywa haufi milele......watu mnatumia kama ile dawa ya babu ndo inaua watu,thats a wrong perception na haina mantiki9 kabisa....mbona watu wanaokunywa ARV wakifa hamuongei kwamba ARV ndo imewaua,watu wakinywa dawa za mseto hamsemi zile dawa ndo zimewaua...mimi jambo la kusema hii dawa ndo inaua watu sikubaliani nalo na ninalipinga kwa sababu hakuna logic hapo.
WALIOKUNYWA KIKOMBE CHA BABU,NA WALE AMBAO HAWAJANYWA WOTE TUTAKUFA TU.......
 
Sijaona mantiki ya picha ya wassira na nimrod kwenye wasifu wa Askofu!!wewe ni MNAFIKI!!! Kwa nini usiweke picha ya mhusika mwenyewe akiwa huko selian,nairobi,india au hata akiwa mtoto?? Wassira na mkono wanawakilisha nini kwenye historia ya marehemu askofu?uzandiki wa hali ya juu,yafaa ukemewe haraka kabla hujahatarisha amani kumbaff kabisa,hiyo historia ndiyo itakayosomwa msibani??mijitu mingine hasara tupu.
 
Alikuwa mtetezi mkubwa sana wa kikombe cha Babu mpaka.Mpaka akatangaza amepona kumbe ulikuwa usanii.Mungu amlaze anapostahili
 
By.


Hicho ndicho ulichotaka kukiwasilisha hapa ila umbea na kutojiamini vimekufanya uzungukie mbaaaali.
Kabla ya kupelekwa India alikwenda Kwa Babu (Mch Ambilikile Mwasapila) Loliondo akiwa na Mhe Edward Lowasa na wote wakapata Kikombe na akashuhudia kuwa amepona!!!!!!!!!!!!!!!.Ushuhud a huu uliwavuta Mawaziri wengi sana akiwemo Steven Wasisra, Willium Lukuvi, Mangufuri....
 
Alikuwa mtetezi mkubwa sana wa kikombe cha Babu mpaka.Mpaka akatangaza amepona kumbe ulikuwa usanii.Mungu amlaze anapostahili

Wanaohusisha vifo na dawa ya babu ni wapuuzi, maana kifo kipo na kusuhudia kupona haimaanishi hutougua tena au hutokufa, au mnataka kusema wote waendao hospitalini upona.

Mungu akikhitaji huna hudhuru lazima akuchukue, ndiyo maana baadhi ya madaktari usema "twatibu, ila mponyaji ni Mungu".
 
Unajua kwenye mambo kama haya tusijifanye wajuaji sana cha maana ni ujumbe tu umefika nasi tuupokee tuchukulie hajui kuambatanisha picha na tukio husika.
 
.............................WALIOKUNYWA KIKOMBE CHA BABU,NA WALE AMBAO HAWAJANYWA WOTE TUTAKUFA TU.................



Sema TULIOKUNYWA KIKOMBE CHA BABU, NA WALE AMBAO HAWAJANYWA WOTE TUTAKUFA TU. Umelalamika sana mkuu ,bila shaka ulipiga foleni ya SAMUNGE!!!!!!!!!
 
Wanaohusisha vifo na dawa ya babu ni wapuuzi, maana kifo kipo na kusuhudia kupona haimaanishi hutougua tena au hutokufa, au mnataka kusema wote waendao hospitalini upona.

Mungu akikhitaji huna hudhuru lazima akuchukue, ndiyo maana baadhi ya madaktari usema "twatibu, ila mponyaji ni Mungu".

Hakika umenena vyema mkuu. Apumzike kwa amani askofu T. Laizer na mwanga wa milele umwangazie ee Bwana.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Sijaona mantiki ya picha ya wassira na nimrod kwenye wasifu wa Askofu!!wewe ni MNAFIKI!!! Kwa nini usiweke picha ya mhusika mwenyewe akiwa huko selian,nairobi,india au hata akiwa mtoto?? Wassira na mkono wanawakilisha nini kwenye historia ya marehemu askofu?uzandiki wa hali ya juu,yafaa ukemewe haraka kabla hujahatarisha amani kumbaff kabisa,hiyo historia ndiyo itakayosomwa msibani??mijitu mingine hasara tupu.

HabariLeo/ jambo leo
 
Sema TULIOKUNYWA KIKOMBE CHA BABU, NA WALE AMBAO HAWAJANYWA WOTE TUTAKUFA TU. Umelalamika sana mkuu ,bila shaka ulipiga foleni ya SAMUNGE!!!!!!!!!

Kwa kweli,mimi sijanywa,ndiyo maana nikasema Waliokunywa
 
RIP Thom Laizer. Ila nina wasiwasi na mtoa habari kama kweli anafahamu ugonjwa wa baba askofu.moja ya hofu hiyo ni kusema hospital ya selian ipo Nairobi wakati ipo ngaramtoni hapo Arusha
 
Kwa kweli,mimi sijanywa,ndiyo maana nikasema Waliokunywa

Ok mkuu ilikua ni challenge ktk JF tu, kusema ukweli KIKOMBE hakina uhusiano wa aina yoyote na KIFO. Siku ya kufa ikifika imefika, na hakuna anayejua hilo, pia hakuna anayejua aina gani ya kifo mtu atakufa hivyo tupo ktk safari ambayo hatujui lini tutafika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom