Hispania yatishia kususia Kombe la Dunia la 2026 endapo Israel itaruhusiwa kushiriki kombe hilo

Hispania yatishia kususia Kombe la Dunia la 2026 endapo Israel itaruhusiwa kushiriki kombe hilo

Zacht

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2020
Posts
1,099
Reaction score
2,403
Kutokana na msimamo wa kisiasa wa Hispania kuhusu mgogoro wa Gaza na shutuma za ukiukaji wa haki za binadamu dhidi ya Israel.

Serikali ya Hispania, chini ya uongozi wa Waziri Mkuu Pedro Sánchez, imesema kuwa inaweza kuondoa timu yake ya taifa kutoka kwenye mashindano ya Kombe la Dunia la 2026 ikiwa Israel itaruhusiwa kushiriki.

Sánchez alieleza kuwa Israel inapaswa kutendewa kama vile ilivyotendewa Urusi mwaka 2022 baada ya uvamizi wake wa Ukraine. Hii ni sehemu ya msimamo wa Hispania kuhusu shutuma za ukiukaji wa haki za binadamu dhidi ya Israel katika mgogoro wa Gaza.

What a solid stance , Viva España
20250928_225407.jpg
 
Hio ni ishara Israel is losing the world, sio tu Hispania ulaya nzima imeandamana .

Isra-hell ni magaidi
Alafu wanasema ni taifa la Mungu, Mungu yupi huyo wanaemwabudu anaeruhusu watu kuuwawa kiasi hicho. Israel ni taifa la ajabu sana kuwahi kutokea, ushetani ulio ndani yao ni wa kiwango cha juu kabisa.
 
Misimamo kama hiyo ni ya kuwadanganya wasio na akili.

Ukisusia kushiriki world cup ndiyo Wapalestina hawatauawa? Au kombe la Dunia halitafanyika?

Wente dhamira njema dhidi ya wapalestina ni wale tu wanaowezesha mazungumzo tu. Sijui kutambua taifa la Palestina, kususia world cup, halafu mambo yakaishia hapo, hakuna lolote la maana hapo. Na huenda wakazidisha tu vifo vya wapalestina.
 
Amani itarejea pale Gaza endapo kizazi chote Cha magaidi kitakapo kua kime futika pale Gaza hivo nawasihi Israel aendeleze dozi kwa yeyote atakae leta chokochoko apo M.E
 
Spain wameamua kujitwisha zigo la waarab la chuki japo Spain wana chuki na wayahudi tokea enzi hizo, Uzuri wa Israel hatishiwi nyani na mjinga mjinga anayeendekeza chuki, wacha Spain akosee akione cha mnyoa mavuzi
 
Amani itarejea pale Gaza endapo kizazi chote Cha magaidi kitakapo kua kime futika pale Gaza hivo nawasihi Israel aendeleze dozi kwa yeyote atakae leta chokochoko apo M.E
Huna akili kabisa wewe,unadhani wanaouwawa ni kuku pale, mimi ni mkristo ila sio mpuuzi kama wewe.
Kwasababu wewe upo na amani na uwapendao wapo salama .
 
Huna akili kabisa wewe,unadhani wanaouwawa ni kuku pale, mimi ni mkristo ila sio mpuuzi kama wewe.
Kwasababu wewe upo na amani na uwapendao wapo salama .
Bila shaka na ww ni Gaidi ndo maana ume catch feeling Ile yenyewe kabisa...
Suala hili Lina husiana vipi na dini ya mtu?
Benjamin aendeleze kuwapelekea moto magaidi yote mpaka mfutike kwenye uso wa Dunia hii
..Punguani Waheed Mmoja wewe...
 
Huna akili kabisa wewe,unadhani wanaouwawa ni kuku pale, mimi ni mkristo ila sio mpuuzi kama wewe.
Kwasababu wewe upo na amani na uwapendao wapo salama .
Haya majinga hayajielewi ukionyesha ujinga wa Israel wanakuona mwislamu
 
Haya majinga hayajielewi ukionyesha ujinga wa Israel wanakuona mwislamu
Anafurahia huo uvamizi,hajui uchungu wa ndugu na jamaa zao kuuwawa, familia kutenganishwa kwa kupotezana kwa taharuki.
Kichaa anachekesha tu kama hatokei kwenu,ndio huyu jamaa.
 
Bila shaka na ww ni Gaidi ndo maana ume catch feeling Ile yenyewe kabisa...
Suala hili Lina husiana vipi na dini ya mtu?
Benjamin aendeleze kuwapelekea moto magaidi yote mpaka mfutike kwenye uso wa Dunia hii
..Punguani Waheed Mmoja wewe...
Mama yako ndio punguani kwa kukuzaa
 
Back
Top Bottom