True Believer
JF-Expert Member
- Mar 6, 2019
- 588
- 900
- Thread starter
- #41
Yah dats sure mkuu...... Ila mwanamke n mwanamke...... Bla shaka kwakuwa tutaish wawl bas tutaunda kanuni moja..... Kuheshmiana na kupendana baaas... Vngne Ntatumia busara tu[emoji3578][emoji3578][emoji3578]Owa tu mkuu ila kama una tabia za hasira na kujimwambafai uziache,nadhani utakuwa una idea kidogo ya mafunzo ya kijeshi alionayo...