Sethshalom
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 593
- 1,030
Mke ni mke haijalishi ana fani gani, kuwa mwanajeshi haimfanye kutokua wife material. Kwa ufupi heshimu ratiba zake za kazini kama ambavyo ungemuoa mwalimu, mama nt'ilie, advocate.... So kikubwa mapenzi ya dhati. Mbona hata raia kwa raia mwenzake wanazunguana. Oa basi mengine mkabidhi Mungu. Yeyote utakaemuoa jua kuna mengine hamtakubaliana 100% lakin mnayamaliza kistaarabu