Hisia zangu zinanituma nioe "Mwanajeshi"

Hisia zangu zinanituma nioe "Mwanajeshi"

Hawana shida tena wengi wapo poa sana katika ndoa zao,
Tabia mbovu za mwanamke haziusiani sana na kazi ni kutokana na malezi aliyokulia,
Wanajeshi wananidhamu Sana.
 
Nidhamu watoe wapi, wamejaa huko uswahilini walevi tu. Tena wakilewa makelele kibao, wanajifanya wao ndio Mabondia, wanataka tu uwakate mitama wakawaite wenzao. Ni shenzi taipu tu.
Wanaamn sana katika kauli ya "Umoja ni nguvu"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawana shida tena wengi wapo poa sana katika ndoa zao,
Tabia mbovu za mwanamke haziusiani sana na kazi ni kutokana na malezi aliyokulia,
Wanajeshi wananidhamu Sana.
Upo sahh mkuu..... Asant kwa ushaur[emoji3578][emoji3578]
 
acha kabisa mkuu
nilisha wai kuwa na demu mjeda ana nyota mbili apa dsm kurasini kambini
ni malaya sana wanaliwa na wakubwa wao mkuu na wenyewe kwa wenyewe
ndo sababu wanapimwa ukimwi mara kwa mara
acha kabisa nikiadisia mkasa mzima utalia kakakakkakaka

achana nao


Tupa mawe
 
Hahahah uzuri ndoa ndio mtihani pekee ambao unatanguliziwa cheti kabla ya paper za kujibu
 
acha kabisa mkuu
nilisha wai kuwa na demu mjeda ana nyota mbili apa dsm kurasini kambini
ni malaya sana wanaliwa na wakubwa wao mkuu na wenyewe kwa wenyewe
ndo sababu wanapimwa ukimwi mara kwa mara
acha kabisa nikiadisia mkasa mzima utalia kakakakkakaka

achana nao
Ila hawakulani tope tu sio?
 
Back
Top Bottom