Hisia zangu zinanituma nioe "Mwanajeshi"

Hisia zangu zinanituma nioe "Mwanajeshi"

Siku hizi wameruhusu wanajeshi waolewe na raia??

Maana kuna kipindi walizuia.
Pia walizuia askari wa cheo cha chini kumuona mwanajeshi Ofisa

Kisa ilikua raia kumpiga mwanajeshi (Mkewe) au mpiganaji (mwanajeshi wa cheo cha chini) kumpiga OFISA (Mkewe) waliona ni fedheha kwa Jeshi (Ilikuwa enzi za Gen. Waitara)

Kama inaruhusiwa kila la heri maana ni watu kama watu wengine
 
Siku hizi wameruhusu waolewe na raia?? maana kua kipindi walizuia, pia walizuia askari wa cheo cha chini kumuona mwanajeshi OFISA

Kisa ilikua raia kumpia mwanajeshi (Mkewe) au mpiganaji(mwanajeshi wa cheo cha chini) kumpiga OFISA (Mkewe)

Kama inaruhusiwa kila la heri maana ni watu kama watu wengine
"Bnafs aliniambia n ruksa...... Ila ntalifuatlia hlo kwa ukarb mkuu.... Nashkr kwa ushaur pia"[emoji3578][emoji3578]
 
Kila mtu ana tabia yake, ukianza kuelezewa watajumuishwa wote ko hutaambulia chochote, Kama mnaeendana weka kitu ndani maisha yaendelee
Ofcoz Yes kaka..... Naamn katka hlo.... Ndo npo kwenye harakat za karb kbsa kulkmlsha hlo....[emoji3578][emoji3578][emoji3578]
 
Back
Top Bottom