Hisia za mapenzi zimepotea

Si ndo vizuri ama?

Mazaga zaga kama heart breaks,magonno yanakupitia kushoto,hela zako zinaishia kwenye vitabu tu unavyodai unasoma
Mkumbushe pia kutotumika nako ni Misuse!
 
Unataka ushauri wa nini sasa! Wa kuziamsha hizo hisia, au!
 
Mkuu, you have to get out on the real world, utakufa ndugu... Too much books pia inachamgamoto zake, acha kuishi kivyako vyako. Nenda club kunywa pombe, vuta mtoto mkali piga machine. Hisia zitakuja automatically.

At the end of the day, we all die so what's the point. Kuna muda nilikuwa addicted to self help books, and bro, it only messed my sanity. Take this from me, no one is going to tell you what you should do with your life. Anza Sasa kuishi vile utakavyo, books neither will,
 
Shida Iko hapa,
1. Hauna Hela.
2. Hauna ajira.
 
kipindi kile watu wanashikwa mabega wewe hukuvaa pin ?
 
Ni jambo jema sana unaogopa nini sasa wenzako hisia kupata mpka tunywe pombe au tuvute bange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…