haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 1,475
- 3,538
1. Kua katika mousanyiko kisha kijana/mwanaume wa rika lake anashuka kwenye ndinga, wakati huo yeye hana mbele wala nyuma, huwa wanajisikia unyonge mkali sana.
2. Anapopishana na mwanaume alie handsone. Yani wanaume wakipishana na mwamaume ambae ni mzuri, tena hapo wakiwa kwenye kundi la watu, kuna hisia flan wanazipata za unyonge si unyonge, huzuni si huzuni ila kifupi tu, wanakua hawapo sawa.
Kuhusu gari, yoyote yule anaweza kumiliki ila kama hujaaliwa uzuri na unasura personal, bas tulia tu na umshukuru Mungu, hakuna kitu unaweza fanya ukabadilisha sura/shape yako.
Mi huwa nafanya makusudi, mda mwengine nikiona jamaa kakaa na demu wake, napita tu niwavuruge wote wawili. Mwanaume anapata inferiority complex, mwanamke ananitaman
2. Anapopishana na mwanaume alie handsone. Yani wanaume wakipishana na mwamaume ambae ni mzuri, tena hapo wakiwa kwenye kundi la watu, kuna hisia flan wanazipata za unyonge si unyonge, huzuni si huzuni ila kifupi tu, wanakua hawapo sawa.
Kuhusu gari, yoyote yule anaweza kumiliki ila kama hujaaliwa uzuri na unasura personal, bas tulia tu na umshukuru Mungu, hakuna kitu unaweza fanya ukabadilisha sura/shape yako.
Mi huwa nafanya makusudi, mda mwengine nikiona jamaa kakaa na demu wake, napita tu niwavuruge wote wawili. Mwanaume anapata inferiority complex, mwanamke ananitaman