Hisia mbili zinazowatesa sana wanaume

Hisia mbili zinazowatesa sana wanaume

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
1,475
Reaction score
3,538
1. Kua katika mousanyiko kisha kijana/mwanaume wa rika lake anashuka kwenye ndinga, wakati huo yeye hana mbele wala nyuma, huwa wanajisikia unyonge mkali sana.

2. Anapopishana na mwanaume alie handsone. Yani wanaume wakipishana na mwamaume ambae ni mzuri, tena hapo wakiwa kwenye kundi la watu, kuna hisia flan wanazipata za unyonge si unyonge, huzuni si huzuni ila kifupi tu, wanakua hawapo sawa.

Kuhusu gari, yoyote yule anaweza kumiliki ila kama hujaaliwa uzuri na unasura personal, bas tulia tu na umshukuru Mungu, hakuna kitu unaweza fanya ukabadilisha sura/shape yako.

Mi huwa nafanya makusudi, mda mwengine nikiona jamaa kakaa na demu wake, napita tu niwavuruge wote wawili. Mwanaume anapata inferiority complex, mwanamke ananitaman
 
1. Kua katika mousanyiko kisha kijana/mwanaume mwenyw rika lake anashuka kwenye ndinga, wakati huo yeye hana mbele wala nyuma, huwa wanajisikia unyonge mkali sana.

2. Anapopishana na mwanaume alie handsone. Yani wanaume wakipishana na mwamaume ambae ni mzuri, tena hapo wakiwa kwenye kundi la watu, kuna hiaia flan wanazipata za unyonge si untonge, huzuni si huzuni ila kifupi tu, wanakua hawapo sawa.

Kuhusu gari, yoyote yule anaweza kumiliki ila kama hujaaliwa uzuri na unasura personal, bas tulia tu na umshukuru Mungu, hakuna kitu unaweza fanya ukabadilisha sura/shape yako.

Mi huwa nafanya makusudi, mda mwengine nikiona jamaa kakaa na demu wake, napita tu niwavuruge wote wawili. Mwanaume anapata inferiority complex, mwanamke ananitamn

Si kweli.
 
1. Kua katika mousanyiko kisha kijana/mwanaume mwenyw rika lake anashuka kwenye ndinga, wakati huo yeye hana mbele wala nyuma, huwa wanajisikia unyonge mkali sana.

2. Anapopishana na mwanaume alie handsone. Yani wanaume wakipishana na mwamaume ambae ni mzuri, tena hapo wakiwa kwenye kundi la watu, kuna hiaia flan wanazipata za unyonge si untonge, huzuni si huzuni ila kifupi tu, wanakua hawapo sawa.

Kuhusu gari, yoyote yule anaweza kumiliki ila kama hujaaliwa uzuri na unasura personal, bas tulia tu na umshukuru Mungu, hakuna kitu unaweza fanya ukabadilisha sura/shape yako.

Mi huwa nafanya makusudi, mda mwengine nikiona jamaa kakaa na demu wake, napita tu niwavuruge wote wawili. Mwanaume anapata inferiority complex, mwanamke ananitamn
Chai
 
1. Kua katika mousanyiko kisha kijana/mwanaume mwenyw rika lake anashuka kwenye ndinga, wakati huo yeye hana mbele wala nyuma, huwa wanajisikia unyonge mkali sana.

2. Anapopishana na mwanaume alie handsone. Yani wanaume wakipishana na mwamaume ambae ni mzuri, tena hapo wakiwa kwenye kundi la watu, kuna hiaia flan wanazipata za unyonge si untonge, huzuni si huzuni ila kifupi tu, wanakua hawapo sawa.

Kuhusu gari, yoyote yule anaweza kumiliki ila kama hujaaliwa uzuri na unasura personal, bas tulia tu na umshukuru Mungu, hakuna kitu unaweza fanya ukabadilisha sura/shape yako.

Mi huwa nafanya makusudi, mda mwengine nikiona jamaa kakaa na demu wake, napita tu niwavuruge wote wawili. Mwanaume anapata inferiority complex, mwanamke ananitamn
Ww sio kijana wa upinde kweli
 
Anapopishana na mwanaume alie handsone. Yani wanaume wakipishana na mwamaume ambae ni mzuri, tena hapo wakiwa kwenye kundi la watu, kuna hiaia flan wanazipata za unyonge si untonge, huzuni si huzuni ila kifupi tu, wanakua hawapo sawa.

Mm sijaona mwanaume handsome.
Naona wote ni kawaida. Na sijawah hisi ni tishio kwangu wala kuona wivu Au unyonge na huzuni.

Mwanaume ni kujiamini.

Sasa kama unakaa na mwanaume mwenzako ambaye ni hansome sana. Unaona wivu wa nini? Unataka akutongoze?.

Hilo la uhandsome ni lake. Halikuhusu ww kama mwanaume. Linawahusu wanawake.
Why you fear?.

Kuhusu Mafanikio, kila mtu anataman. Ni kupambana tu na tuachie kudra .

Kumbuka Jitihada hazizidi kudra.
 
Back
Top Bottom