Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
Dah! MAGAZIJUTO ilinisumbua sana enzi zile primary ila secondary niliipenda sana BODMAS cha ajabu eti kuna watu waliniambia zinafanana. Teh teh.....
ha ha ha waongo hao
Dah! MAGAZIJUTO ilinisumbua sana enzi zile primary ila secondary niliipenda sana BODMAS cha ajabu eti kuna watu waliniambia zinafanana. Teh teh.....
Mimi nilikuwa napenda Laplace's Transiformation pamoja na Egen vectors, bila kusahau Numerical analysis 1.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
nilikuwa sipendi complex numbers, Trig was tricky.
Afu functions of a single variable lol
hesabu pekee nilizozipenda ni tableu (za chuoni)
Kigawe Kikubwa cha Shirika (KKS), Kigawe Kidogo cha Shirika (KDS) MAGAZIJUTO na MAJIRA YA NUKTA na MAUMBO (hapo unatakiwa kutafuta eneo lililotiwa kivuli) alafu pai tumia 3.14
nilikuwa sipendi complex numbers, Trig was tricky.
Afu functions of a single variable lol
Kumbe unajua jua hesabu ee! Mimi integration na differentiation ndio zilikuwa topics ninazozipenda!!
Mimi mdau mkubwa wa differential equation,kuna maswali fulani ya diff eqn yapo kwnye PURE 2 au backhouse,pale kwenye "miscellonous question" nilikuwa napenda hayo.
Dah! MAGAZIJUTO ilinisumbua sana enzi zile primary ila secondary niliipenda sana BODMAS cha ajabu eti kuna watu waliniambia zinafanana. Teh teh.....
Vipi kuhusu Abstract Algebra na Functional Analysis?
acha kuzingua wewe,mpaka umesoma PCM inamaanisha unapenda hesabu kutoka moyoni.Bila kukosea "complex number" ni mziki wa A-level,frm 6.
mbona complex ya A level ni introduction tu. Chuo inachukua 1 hr kui cover. Insue inaanza kwenye mambo ya contuor, resdue thrms, de movres' thrms etc. Kuna assumptions za kutosha sana.
hizi ndo hesabu mkuu acha kabisa kitu hakina formula wala namba ni mambo ya kuunga dots kwa kutumia logics. Respect sana kwa hizo ma insues asee.
Dah! MAGAZIJUTO ilinisumbua sana enzi zile primary ila secondary niliipenda sana BODMAS cha ajabu eti kuna watu waliniambia zinafanana. Teh teh.....