Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,593
- 13,420
Hiyo mizungu ni mijinga na mipumbavu. Yaani hela wanapeleka kwenye silaha za kuua watu. Mpaka sisi huku tusiohusika tunateseka. Yaani roketi moja kama bomba la mabati mabati eti ndio milioni miambili 😂😂😂. Hao jamaa wanahela za kuchezea na ni wapumbavu sana na wajingawajinga 😂😂😂Kuitwa mkuu wa dunia kuna garama zake boss. Hujaona matajiri wa bongo pia wanasifiwa na kuabudiwa kwa sababu wanatumia pesa mkuu .
