Kwa kuongezea in kwamba S300 na S 400 yameundwa specific kwa kidungua makombora mazito,ndege,na helicopter ,maana kombora moja la S 300 gharama yake ni USD 1.2,sasa ukimbizane na kombora moja la himas ambalo ni dola laki 1.6 ,si kutiana hasara ,ndio maana hii mifumo haina mda na maroket ,mfano maroket ya Russia moja linakost around dola 10,000 yan ukiwa na hii mifumo ya kisasa ya kudungua makombora inabid mtulie tuu maroket yakafanye yanchoweza maana ni gharama kuyadungua,unadungua kitu cha million 20 ,kwa kutumia billion 2.5