QUALIFIED BIOLOGY TEACHER
Member
- Oct 27, 2024
- 33
- 277
Siku nyingine ukifika kwa mlinzi mwambie ninahitaji kuonana na mkuu pasipo kumwambia kwa shida gani. Akikomaa sana kutaka kujua unakwenda kufanya nini, mwambie nakwenda kutafuta nafasi ya kumhamisha mwanangu asome katika shule hiyo.Leo majira ya asubuhi nilipeleka maombi ya kazi katika moja ya shule hapa mjini.
Lakini experience nimeyokutana nayo Leo it's was too bad.
Picha inaanza Nimefika getini, nikamsalimia mlinzi jinsia yake me anaonekana kama ana miaka 44+ . Nikamwambia naomba unielekeze ofisi ya mkuu wa shule.
Mlinzi yule akanambia boss anaongea na simu, kwa hiyo nipe CV zako akimaliza tampa. Nikamuomba kuwa nipo Tayari kumsubilia mkuu hadi atakao maliza kuongea na simu jamaa akagoma.
Ndipo nikamsihi sana yule mlinzi kuwa anape hata dakika tano tu, lakini jamaa yule alikataa.
Nikamuomba kaka Tafadhali naomba basi bahasha hii nimpelekee sekretari wa mkuu wa shule jamaa akagoma.
Nikaona sina jinsi, nikachukua bahasha nikampa mlinzi, jambo la ajabu jamaa akafungua bahasha akaanza kusoma application letter na CV zangu, aisse I was to excited kiasi kwamba machozi yalinilenga.
Nikaona maybe labda sio neema yangu kufanya Kazi kwenye tasisi hiyo.
Wewe jamaa unakabia juu sanaSjaelewa why ulikua excited mlinzi kusoma barua na CV yako mpaka machozi
Nino kilikusisimua?
Pole sana mkuu, kuna walinzi ni ovyo sana.Leo majira ya asubuhi nilipeleka maombi ya kazi katika moja ya shule hapa mjini.
Lakini experience nimeyokutana nayo Leo it's was too bad.
Picha inaanza Nimefika getini, nikamsalimia mlinzi jinsia yake me anaonekana kama ana miaka 44+ . Nikamwambia naomba unielekeze ofisi ya mkuu wa shule.
Mlinzi yule akanambia boss anaongea na simu, kwa hiyo nipe CV zako akimaliza tampa. Nikamuomba kuwa nipo Tayari kumsubilia mkuu hadi atakao maliza kuongea na simu jamaa akagoma.
Ndipo nikamsihi sana yule mlinzi kuwa anape hata dakika tano tu, lakini jamaa yule alikataa.
Nikamuomba kaka Tafadhali naomba basi bahasha hii nimpelekee sekretari wa mkuu wa shule jamaa akagoma.
Nikaona sina jinsi, nikachukua bahasha nikampa mlinzi, jambo la ajabu jamaa akafungua bahasha akaanza kusoma application letter na CV zangu, aisse I was to excited kiasi kwamba machozi yalinilenga.
Nikaona maybe labda sio neema yangu kufanya Kazi kwenye tasisi hiyo.
Njoo pmPole sana mkuu, kuna walinzi ni ovyo sana.
Nikaona sina jinsi, nikachukua bahasha nikampa mlinzi, jambo la ajabu jamaa akafungua bahasha akaanza kusoma application letter na CV zangu, aisse I was to excited kiasi kwamba machozi yalinilenga.
Nikaona maybe labda sio neema yangu kufanya Kazi kwenye tasisi hiyo.
mwache akabie hukohuko juu tutamfungia kwa chini huyu...😂Wewe jamaa unakabia juu sana
walikujaribu tu na kupima kiwango chako cha hekima, busara, ustaarabu, ustahimilivu na subra..Leo majira ya asubuhi nilipeleka maombi ya kazi katika moja ya shule hapa mjini.
Lakini experience nimeyokutana nayo Leo it's was too bad.
Picha inaanza Nimefika getini, nikamsalimia mlinzi jinsia yake me anaonekana kama ana miaka 44+ . Nikamwambia naomba unielekeze ofisi ya mkuu wa shule.
Mlinzi yule akanambia boss anaongea na simu, kwa hiyo nipe CV zako akimaliza tampa. Nikamuomba kuwa nipo Tayari kumsubilia mkuu hadi atakao maliza kuongea na simu jamaa akagoma.
Ndipo nikamsihi sana yule mlinzi kuwa anape hata dakika tano tu, lakini jamaa yule alikataa.
Nikamuomba kaka Tafadhali naomba basi bahasha hii nimpelekee sekretari wa mkuu wa shule jamaa akagoma.
Nikaona sina jinsi, nikachukua bahasha nikampa mlinzi, jambo la ajabu jamaa akafungua bahasha akaanza kusoma application letter na CV zangu, aisse I was to excited kiasi kwamba machozi yalinilenga.
Nikaona maybe labda sio neema yangu kufanya Kazi kwenye tasisi hiyo.
Labda kamaanisha 'disappointed'Sjaelewa why ulikua excited mlinzi kusoma barua na CV yako mpaka machozi
Nino kilikusisimua?