Sifahamu umeelimika kwa kiwango gani au una umri gani, lakini nikuulize tu kwamba ina maana serikali kuhama toka mji mmoja kwenda mwingine ndiyo msingi wa maendeleo?Hata uwanja mpya wa taifa ulijengwa baada ya kuona ule wa zamani kila wakichimbua wanakuta vichwa vya fisi, mbuzi, ngedere na mahirizi mambo ya Simba na Yanga.So ili tupate maendeleo serikali kuhamia Dodoma ni LAZIMA
Mkuu kwani mmilki wa Kebbys ni nanina ikulu atauziwa mmiliki wa kebby hotel ya pale bamaga. Hhha
Wewe unadhani kwanini tunahama labda tuanzie hapo.Mambo ya elimu na umri sidhani kama yatakusaidia sana, mfano nikisema tulicheza na your father nitakuwa sijakujibu bado utataka kudadisi zaidiSifahamu umeelimika kwa kiwango gani au una umri gani, lakini nikuulize tu kwamba ina maana serikali kuhama toka mji mmoja kwenda mwingine ndiyo msingi wa maendeleo?
Ama kweli kazi tunayo!
Jibu lako lina matatizo makubwa mawili, moja ni kule kuamini na kudhani kuwa Magufuli ataiweka nchi sawa. Hii siyo kazi ya mtu mmoja wala kazi ya miaka mitano au kumi; inahitaji kiongozi mwenye maono, kipaji cha uongozi, ushirikiano na watu wengine, kutambua kuwa yeye hajui wala hawezi kila kitu, na kwamba ni lazima kuwepo na mkakati. Hizi sifa hana.JPM ANA KAZI KUBWA KUIWEKA NCHI HII KWENYE MADILI KWELI NCHI ILIKUA KWENYE ICU ANA MADUI WENGI MAPAPA TENA MAFSADI NA WAHUJUMU UCHUMI UKIWA ATTACK LAZIMA WAPIGE KELELE
Kujivuna kwiiingi hadi kero sasa sijui anatupeleka wapi huyu mtukufu wetu?Kweli kabisa mkuu. Huyu wa kwetu anataka awe anaongea yeye tu. Anataka kuonesha kuwa wenzake walifanya hovyo kabisa hivyo yeye ndiye pekee anayeweza kufanya vyema na hatak kupngwa na ndiyo maana anasema hakuna rais mwingine isipokuwa ni yeye tu kitu ambacho hakina haja ya kukisema ila ni kama kusema yeye ndiye alfa na omega
Mkuu nchi yako inategemea misaada ya wahisani, hao wanaotuletea fedha kila mwaka hawana muda wa kuandamana, sisi tunaowategemea tuna muda mwingi wa kuchomwa na jua tukimsubiri mwanasiasa aje atuhutubie. Huoni kwamba tunajenga taifa la masikini wa miili na akili pia?.
Hizo ni siasa chafu (uchwara, za maji taka) popote pale duniani. Natumaini ujumbe huu wa ukweli unaouma umemfikia "mlengwa"Sasa wewe unalinganisha mazingira ya America na Tanzania
Mnachekesha kweli!!
Siasa za Tanzania ni Attack Attack Attack!! Mikakati+Fitina
Sikh moja niliona kichaa mmoja kakaa na ghafla akapita chizi mbele yake, basi aliangua kicheko kikali sana na alipoulizwa akasema hamumuoni mwendawazimu huyo?Siku zote mtu anaeona wenzake ndo wenye matatizo hapo aelewe kwamba yeye ndio tatizo
Masernberg, Kama huyu anayejiita mzalendo hajakuelewa hatakaa amwelewe yeyote yule. Tatio la nchi hii iku ote limekuwa uongozi bora. Hata sasa bado tunahiotaji kiongozi borfa!Jibu lako lina matatizo makubwa mawili, moja ni kule kuamini na kudhani kuwa Magufuli ataiweka nchi sawa. Hii siyo kazi ya mtu mmoja wala kazi ya miaka mitano au kumi; inahitaji kiongozi mwenye maono, kipaji cha uongozi, ushirikiano na watu wengine, kutambua kuwa yeye hajui wala hawezi kila kitu, na kwamba ni lazima kuwepo na mkakati. Hizi sifa hana.
Pili, adui wa taifa letu siyo ufisadi na mafisadi bali ni mfululizo wa uongozi mbovu usio na akili mpya wala mawazo ya kuona nje ya mipaka yetu na kujifunza kutoka kwa waliopiga hatua. Ufisadi ni matokeo ya hali hii na JPM haonekani kuwa na mbinu au uwezo wa kuibadilisha. Sanasana anachagua ufisadi gani wa kupambana nao na mwingine anauacha kwa hofu.
Asisahau na IKULU.hata mimi naunga mikono...abomoe tanesco...auze Majengo ya BOT
kama ww una kazi wenzio hawana ndo kwanza wamemaliza chuo na hawajaajiliwaPia Unga Mkono Siasa ni kazi sio maandamano
Mgonjwa Tundu lissu dohahaha. ..really? but lowasa never attacks anyone ...na still is the mastermind of Tz Politics
Mlia muattack sana JK na kumuita dhaifu na kweli you had something missing... Na sasa mmekipata na si kingine ni kiboko ya mafisadi na wasio na adabu na wasio na heshima na si mwingine ni Magufuli akisema amesema na sasa ana wasubiri tarehe 1 September.Akiongea katika kampeni zake kasema mano haya. "somebody who attacks everybody has something missing". Namuona Rais Magufuli kila mara katika hotuba zake ni lawama, vitisho, matamko yasiyozingatia katiba nk.
Asante mama kwa kinifumbua macho
Muulize mjuaji jpmMkuu kwani mmilki wa Kebbys ni nani
ADUI WA NCHI YETU KWA SASA NAMBA MOJA NI UFSADI UKISHA MALIZA UFSAD NA RUSHWA NCHI INAKUA SAWA LAKINI BILA KUONDOA UFSADI HATA UPANGE MIKAKATI YA MAENDELEO UNAFANYA BURE HELA ZA SERIKALI ZITAISHIA MIKONONI MWA WATU WACHACHE JPM KAZAA BUTI MAFSAD LAZIMA WANYOOKEJibu lako lina matatizo makubwa mawili, moja ni kule kuamini na kudhani kuwa Magufuli ataiweka nchi sawa. Hii siyo kazi ya mtu mmoja wala kazi ya miaka mitano au kumi; inahitaji kiongozi mwenye maono, kipaji cha uongozi, ushirikiano na watu wengine, kutambua kuwa yeye hajui wala hawezi kila kitu, na kwamba ni lazima kuwepo na mkakati. Hizi sifa hana.
Pili, adui wa taifa letu siyo ufisadi na mafisadi bali ni mfululizo wa uongozi mbovu usio na akili mpya wala mawazo ya kuona nje ya mipaka yetu na kujifunza kutoka kwa waliopiga hatua. Ufisadi ni matokeo ya hali hii na JPM haonekani kuwa na mbinu au uwezo wa kuibadilisha. Sanasana anachagua ufisadi gani wa kupambana nao na mwingine anauacha kwa hofu.
Kwamba umecheza na baba yangu au la hainihusu kwa sababu mliamua wenyewe kucheza. Msingi wa kupinga habari ya kuhama ni kwamba kama ilivyo kawaida ya Magufuli anaamua tu mambo kienyeji na kiholela kutokana na kutokuwa na kipaji au uwezo wa kuwa kiongozi.Wewe unadhani kwanini tunahama labda tuanzie hapo.Mambo ya elimu na umri sidhani kama yatakusaidia sana, mfano nikisema tulicheza na your father nitakuwa sijakujibu bado utataka kudadisi zaidi