Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,134
Huyo ni mwekezaji wa ndani sio nkapa south africa
Wakuu hii Five Star Hotel iliyoko Mbeya ni Mali ya nani?
Mbona bango linakanganya? Ni hotel,suites au apartments?
Five Star maana yake nini?[/QUOTE
]
Nafikiri akisoma kwenye hii link atarekebisha title ya huu uzi
Hotel rating - Wikipedia, the free encyclopedia
Hata hapo haijafikia,hiyo ni sawa tu na hoteli za Sinza kama Delfrance,Wanyama n.kUkisema hiyo ni 5 Stars utakuwa unakosea, Lake Tanganyika Hotel ya mjini Kigoma pamoja na ubora wake kuwa juu kuliko hiyo bado ni 4 Stars.
5 Stars sio mchezo inabidi mwekezaji ajipange...
unashangaa hotel kuwa na apartments? au na wewe ni mulugo type!
Utasikia kuna mtu ataropoka ya Riziwani ngoja tusubiri..
hongereni kwa kuongezewa sehemu ya uzinzi!