Hill View Hotel ya Mbeya ni Mali ya Nani

Hill View Hotel ya Mbeya ni Mali ya Nani

Bujibuji nadhani umedanganya sie tunajua ni ya Simon Jatuna agent wa serengeti na msindikaji mkubwa wa nafaka hapa Mbeya. Jamaa ni mjasiliamali mzuri na kajenga kitu kizuri binafsi nampongeza ila sio five star



Anaitwa Simon Gatuna,alikua na mashine pale pembeni ya airport za Kusaga mazao, kampuni yake inaitwa "Trade Packers"Kipindi kile jamaa wengi serikalini walikua wanajificha nyuma ya kivuli cha huyu jamaa,hasa waliokua TRA.huyu jamaa ana asili ya Kenya.Sasa nime confirm kuwa ipo uzunguni ,karibia na mkuu wa mkoa.nilipita mitaa hiyo 2010,nikakuta ndio panajengwa.Pamekua mahali pazuri.Eneo hilo lilikua na mgogoro jamaa alitaka kuvuliwa kwani inaonekana alikabidhiwa na ofisi ya ubalozi,kama sijasahau ni wa SA.
 
Wakuu hii Five Star Hotel iliyoko Mbeya ni Mali ya nani?


2.jpg


3.jpg



17.jpg




12.jpg

ile ya jakuzi ya mdada anasoma gazeti mbona siioni hapa au ushachakachua?
 
Five start hotel ni hizi hapa chini Tanzania

1. Kempinski think now days four season - Dar
2. Serena - Movenpick - Dar
3. Novotel Mt Meru - Arusha

Kina vigezo vingi sana ili uwe 5star. Ukubwa wa room, restaurant (Italian, Indian, continental na pia fringe benefits kwa staff, how are they getting paid.

Mbeya huwezi kupata hata 2 start kwani hotel kama seacliff ni three star kwa vigezo vya kimataifa
 
five start hotel ni hizi hapa chini tanzania

1. Kempinski think now days four season - dar
2. Serena - movenpick - dar
3. Novotel mt meru - arusha

kina vigezo vingi sana ili uwe 5star. Ukubwa wa room, restaurant (italian, indian, continental na pia fringe benefits kwa staff, how are they getting paid.

Mbeya huwezi kupata hata 2 start kwani hotel kama seacliff ni three star kwa vigezo vya kimataifa

hii yetu hatuhitaji vigezo vya kimataifa..ni kwa vigezo vya kitaifa na kimikoa...mataifa ya wapi hapa kwetu mbeya??
 
Ni ya kwangu mnataka nn?? Njoon mlale tu.
 
Kuna m2 atasema ni ya lowasa watu hawana siri
 
This is not a five star hotel by any acceptable standards, it could range between 1-3 stars

fyuuuuuuuuuuuuu

Katika maana ya gorofa au??? hebu kwanza tuelimishwe hiyo Five star inataka nini hasa kiwepo? maana naamini Gest house, logde, In na hotel vinaweza wakati mwingine kwa sisi watanzania tukavitumia vyote kwa maana moja ingali ni vitu tofauti!!! lakini mimi binafsi nampongeza sana Jamaa yangu Simon kwa ubunifu Mkubwa akifuatiwa na mkulu, mbeya hoyee eeeeeee , swala la kuhoji ni ya nani ni tuwaachie maskini kwani ndiyo kwa sasa waliojirani zaidi na mtu anaitwa "Majungu" maskini na kwa sasa umskini mbeya ni Sifa ya hata kufikia kujivunia.
 
ipo sehemu gani hapa mbeya ili nikalale walau wiki moja? na bei inaendaje?
 
Katika maana ya gorofa au??? hebu kwanza tuelimishwe hiyo Five star inataka nini hasa kiwepo? maana naamini Gest house, logde, In na hotel vinaweza wakati mwingine kwa sisi watanzania tukavitumia vyote kwa maana moja ingali ni vitu tofauti!!! lakini mimi binafsi nampongeza sana Jamaa yangu Simon kwa ubunifu Mkubwa akifuatiwa na mkulu, mbeya hoyee eeeeeee , swala la kuhoji ni ya nani ni tuwaachie maskini kwani ndiyo kwa sasa waliojirani zaidi na mtu anaitwa "Majungu" maskini na kwa sasa umskini mbeya ni Sifa ya hata kufikia kujivunia.

umeongea mengi lakini jibu ni fupi, hiyo gesti haikidhi viwango vya kuitwa 5 star hotel

whisha
 
Five start hotel ni hizi hapa chini Tanzania

1. Kempinski think now days four season - Dar
2. Serena - Movenpick - Dar
3. Novotel Mt Meru - Arusha

Kina vigezo vingi sana ili uwe 5star. Ukubwa wa room, restaurant (Italian, Indian, continental na pia fringe benefits kwa staff, how are they getting paid.

Mbeya huwezi kupata hata 2 start kwani hotel kama seacliff ni three star kwa vigezo vya kimataifa
Unajaribu kuelimisha watu lakini inaonekana hujui hata unachoandika. Hakuna categorization ya hoteli inayotumia neno START. Its is STAR.
 
Wakuu,
Mbona nasikia ni mali ya Sugu na Tyson wa UWT (Bhanji) kuna ukweli hapo kweli?
 
Back
Top Bottom