mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,890
- 132,159
Haya mbeya kuna milima fulani wako wasafwa wameyapanda sana
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
fyulisi
Mafyododo, ndio matunda , makusu, makuyu, masasati, makatapera ni kamatu yanavyoitwa. Ila ukisema tunda Ni mafyulisi tuhilo tunaita fyulisi au tunda. ukija mbeya ukisikia "matunda" ujue ndiyo hayo.
na hii ni special kwa wasafwa, kwa msafwa tunda ni fyurisi na si vinginevyo.... japo mafyurisi yanapotea sana mbeya kwasababu ya watu kujenga. na mafyurisi ya pale mjini ni madogo ma machachu tofauti na isyonje na namba one ambayo ni makubwa...Mafyododo, ndio matunda , makusu, makuyu, masasati, makatapera ni kamatu yanavyoitwa. Ila ukisema tunda Ni mafyulisi tu
na hii ni special kwa wasafwa, kwa msafwa tunda ni fyurisi na si vinginevyo.... japo mafyurisi yanapotea sana mbeya kwasababu ya watu kujenga. na mafyurisi ya pale mjini ni madogo ma machachu tofauti na isyonje na namba one ambayo ni makubwa...
Fyulisi likiwa moja. Mafyulisi yakiwa mengi! Sijui ni kinyakyusa au Kiswahili? Mbeya ndio kwao hayo matunda.
Namba one ndio wapi; UPOROTO?
Mafyododo, ndio matunda , makusu, makuyu, masasati, makatapera ni kamatu yanavyoitwa. Ila ukisema tunda Ni mafyulisi tu
nafikiri na SONGWA nazo unazijua mkuu japo hizi ndo zipo ukingoni kabisa kupotea...
hizi za porini... zipo zile zinakuwa na mti mkubwa kiasi... zipo kwenye nyumba chache sana ituha, isyesye na uyole
Nimezikumbukahizi za porini... zipo zile zinakuwa na mti mkubwa kiasi... zipo kwenye nyumba chache sana ituha, isyesye na uyole
Pamoja na ndilolo.nafikiri na SONGWA nazo unazijua mkuu japo hizi ndo zipo ukingoni kabisa kupotea...
Wanazingua sana. Watu wanajenga nyumba wanasahau kupanda matunda(mafyulisi). Ila haya makubwa ya kisasa hayachelewi kuharibika na ladha ni moja plain. Tule tudogo tuna aina nyinginyingi.na hii ni special kwa wasafwa, kwa msafwa tunda ni fyurisi na si vinginevyo.... japo mafyurisi yanapotea sana mbeya kwasababu ya watu kujenga. na mafyurisi ya pale mjini ni madogo ma machachu tofauti na isyonje na namba one ambayo ni makubwa...
Halafu hizi songwa rahisi sana kupanda. Unapanda kama ua tu nyumbani.nafikiri na SONGWA nazo unazijua mkuu japo hizi ndo zipo ukingoni kabisa kupotea...
Tunakimbilia strawberry za kizungu tunaacha hizi
Tupige biashara. Tupande tuseme zinatibu zile ishu, typhoid, miguu kuwaka moto, malaria sugu, UTI, tumbo kujaa gesi,mapunye, vidonda vya tumbo nk. Hadi waje kushtuka tuko mbali kama Ndodi.