anjnr
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 539
- 208
Samahani waungwana, naomba kujuzwa, hivi hili tatizo la idm(internet download manager) kuleta kisanduku cha kuandika username na password kila napotaka kudownload file ni kwangu tu au ndio utaratibu wameuanzisha sasa? nimejaribu kufuata ushauri mbalimbali wa wataalam hapa jukwaani bila mafanikio. Kwangu tatizo limeanza jana, nimejaribu ku-uninstal na ku-instal upya kwa kufuata baadhi ya link zilizotolewa na watalaam hapa bila mafanikio. Naombeni msaada kwa yeyote aliye na ufumbuzi.