Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,153
Kutusua ni kufanya mapenzi na mwanamke.
Itakua rejesta.
Kutusua ni kufanya mapenzi na mwanamke.
Uko sahihi kutusua ni kutoboa lakini si kila kitu ni kitu chenye sponji kama mpira umetusuka sasa ukiangalia mambo yale ya faragha kuna kutusua pale au?Kutusua maana yake ni kutoboa
jamaa kaondoka na Mwanamke kenda mTusua
Unazidi kuyakinisha kuwa wewe ndiyo walewale.
Nimepatia vizuri hapo chini ya mkanda na unaona burudani.Hivyo vilemba ndo kazi yake bidada. Kwisha kazi...
Neno moja laweza kuwa na maana zaidi ya moja,mfano:barabara ni njia ya kupita magar au watu,pia barabara =sawasawa au vizuri.Sasa neno tusua pia linamaana ya kuweza au fanikiwa
wewe unavyoona kile kipochi manyoya ni jiwe au sponjiUko sahihi kutusua ni kutoboa lakini si kila kitu ni kitu chenye sponji kama mpira umetusuka sasa ukiangalia mambo yale ya faragha kuna kutusua pale au?
Unazidi kuyakinisha kuwa ndiyo walewale.
Hii kitu lazima ikupe faraja maana maisha ya post zako yanajieleza. Chuchumaa sasa ujipambanue....niiiina.
Kuna Tangazo linatoka ITV la TMT linalosema mpaka utusue, mpaka kieleweke, mpaka ukome. Sasa hili neno 'mpaka utusue' maana yake nini? Kwa sisi wa miaka hiyo, hili neno lina maana mbaya, na ubaya tangazo hili mpaka watoto wanaangalia.
Ni vizuri ITV wakasitisha tangazo hili mara moja.
hata tigo kwa kizazi hiki lina maama mbaya kuliko tusua yenu
habari! Mara nyingi umekuwa ukitumia neno Punguani kwa faida yangu naomba maana ya hilo neno.
Mimi naona kutusua ni kutoboa kwa kutumbukiza kitu chenye ncha kama msumari au ncha ya kisu kwenye kitu kilichojaa upepo kama mpira wa miguu au tairi la gari lililojaa upepo. Ukitoboa mara nyingi hulia tusuuuuu!!! Hata tumbo la binadamu hasa mwenye kitambi au mnyama ukitoboa litalia tusuuu!!!Nini maana ya kutusua? Tukishapata maana halisi ya neno hili tujadili.Vinginevyo zitakuwa mis-interpretation tu.
Unazidi kuyakinisha kuwa ndiyo walewale.
Type maana yake