Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Kuna Tangazo linatoka ITV la TMT linalosema mpaka utusue, mpaka kieleweke, mpaka ukome. Sasa hili neno 'mpaka utusue' maana yake nini? Kwa sisi wa miaka hiyo, hili neno lina maana mbaya, na ubaya tangazo hili mpaka watoto wanaangalia.
Ni vizuri ITV wakasitisha tangazo hili mara moja.
Kutusua = kufanikiwa jambo