Hili tangazo ITV sio zuri

Hili tangazo ITV sio zuri

Kuna Tangazo linatoka ITV la TMT linalosema mpaka utusue, mpaka kieleweke, mpaka ukome. Sasa hili neno 'mpaka utusue' maana yake nini? Kwa sisi wa miaka hiyo, hili neno lina maana mbaya, na ubaya tangazo hili mpaka watoto wanaangalia.

Ni vizuri ITV wakasitisha tangazo hili mara moja.

Kutusua = kufanikiwa jambo
 
wewe unavyoona kile kipochi manyoya ni jiwe au sponji
ww umeshawahi kukipiga jino au kukinyonya kinabonyea kwenda mbele na ndani yake kuna majimaji
sasa unachotakiwa ni kuingiza sindano na kuKITUSUA kwisha kazi
Nakitusua na kinatusuka tu tu tuswi
 
Pia kuna neno "mbeleni" siku hizi utasikia/kuona kweye TV mtu timamu kabisa anatamka "miaka/siku za mbeleni".Mpaka miaka ya 90 lilikuwa ni tusi (hasa mikoa ya Pwani).Labda ndiyo kukua kwa lugha kwenyewe,tuvumilie tu mkuu MAHEPE
 
Last edited by a moderator:
Kuna Tangazo linatoka ITV la TMT linalosema mpaka utusue, mpaka kieleweke, mpaka ukome. Sasa hili neno 'mpaka utusue' maana yake nini? Kwa sisi wa miaka hiyo, hili neno lina maana mbaya, na ubaya tangazo hili mpaka watoto wanaangalia.

Ni vizuri ITV wakasitisha tangazo hili mara moja.
Tangazo halina ubaya wowote, kutusua ni kama nane kufanikiwa, kuponda raha, kufurahia, kutoboa, "to make it"... enzi zile za sekondari tulikua tunatusua sana wikendi
 
Back
Top Bottom